×

Siasa

Wakuu wa wilaya wapya, muwe tochi ya maendeleo

Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Godwin Gondwe. KWANZA nianze kumuomba Mungu azidi kutupa afya njema ili tuweze kumtumikia vema na...

READ MORE

Tusitengeneze Tatizo Makusudi

Rais Dk. John Magufuli. NCHI ilimaliza uchaguzi miezi saba iliyopita na sasa ipo katika mwendo wa kawaida kuhakikisha maisha ya...

READ MORE

Huu mgogoro wa Wabunge na Naibu Spika utatuliwe haraka

Naibu Spika, Dk. Tulia Ackson. Tumsifu Mungu kwa kutupa uhai na afya tele leo. Baada ya kusema hayo niingie moja...

READ MORE

Nyerere, Kawawa wakimbilia Kigamboni

LEO hii jambo hili likisimuliwa ni kama hadithi! Lakini si hadhithi. Lilitokea miaka ipatayo 52 iliyopita, wakati wasomaji wengi wa...

READ MORE

Migogoro vyuo vikuu ishughulikiwe mapema isingoje vurugu

Nichukue nafasi hii kumshukuru Mungu kwa kutupa uhai leo na kutuwezesha kuwasiliana kupitia kona hii. Nianze kwa kusema kwamba wiki...

READ MORE

Wakili Hashim Rungwe… Aishauri Serikali Mambo Mazito-2

WIKI iliyopita Wakili Hashim Spunda Rungwe alishauri mambo mengi ambayo anaona yanafaa serikali iyafanye ili kupiga hatua mbele za kimaendeleo...

READ MORE

Jumuia ya Afrika Mashariki yavunjika baada ya miaka 10

JUMUIA ya Afrika ya Mashariki ya sasa ni marudio ya Jumuia ya Afrika Mashariki iliyoanzishwa kwa furaha mwaka 1967 na...

READ MORE

Ulevi huu ni mbaya kuliko ule wa Kitwanga

Aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga. LIMETOKEA jambo baya katika nchi yetu linaloweka historia kwa kiongozi wa serikali,...

READ MORE

Nyerere amteua Mzungu kuwa Waziri wa Fedha

Rais wa Awamu ya kwanza, Mwl. Julius Nyerere ALIKUWA ni mmoja wa Wazungu ambao Waziri Mkuu, Julius Nyerere, alikubaliana nao. ...

READ MORE

Waziri Mtoro, Akamatwa, Awekwa Sandukuni Kurudishwa Nigeria

NI kituko kilichotokea miaka ipatayo 32 iliyopita! Ni mwaka 1984 ambapo serikali mpya ya Nigeria chini ya Muhammadu Buhari ilitaka ...

READ MORE

Kilichojificha mgogoro wa Zanzibar -3

Kama tulivyoona wiki iliyopita aliyetangaza Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12, 1964 ni John Okello, nilipata simu wasomaji wakitaka kujua huyu...

READ MORE

Mwanzilishi wa vyama vingi Tanzania-2

SAFU hii mpya ya Mleta Mabadiliko iliyoanza wiki iliyopita kwa kumuibua mwanzilishi wa vyama vingi nchini, James Mapalala inaendelea tena...

READ MORE

Kilichojificha mgogoro wa Zanzibar -3

Kama tulivyoona wiki iliyopita aliyetangaza Mapinduzi ya Zanzibar Januari 12, 1964 ni John Okello, nilipata simu za wasomaji wakitaka kujua...

READ MORE

Kilichojificha mgogoro wa Zanzibar -2

Naendelea kufafanua kilichojificha katika mgogoro wa kisiasa Zanzibar: Kwa hakika, kinyume cha baadhi ya watu walivyoandika, hapakutokea mauaji ya kimbari...

READ MORE

Niva Ampigia Saluti Gabo

Na Mwandishi Wetu ZUBERY Mohamed ‘Niva’ ambaye ni mmoja wa waigizaji wa kitambo Bongo, amempigia saluti muigizaji bora wa kiume...

READ MORE

Ewura, Sumatra ni ‘Kajipu Uchungu’, Katumbuliwe!

Bei ya mafuta ghafi katika soko la dunia imeshuka. Kwa mujibu wa viwango vya bei ya mafuta katika soko hilo...

READ MORE

Namshauri rais wetu Magufuli  haya muhimu kwa taifa

Namshukuru Mungu kwa kutuweka hai leo. Leo nimeamua kumshauri Rais Dk. John Pombe Magufuli kutekeleza mambo nane ili kuweka misingi...

READ MORE

Nape; Hili la Kuwalipa Wasanii Liangalie kwa Jicho la Tatu

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye. KWAKO Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye. Habari...

READ MORE

Ya Zanzibar; ni Jecha au mawazo ya wakubwa?

YANAYOENDELEA visiwani Zanzibar kuhusu kufutwa na kutangazwa upya kwa tarehe ya uchaguzi mkuu yanafahamika. Nyongeza ya tafakuri yangu ni: Kwa...

READ MORE

Wabunge; hatutarajii zile ‘sinema’ zenu

TUMSHUKURU Mungu kwa kutuweka hai leo, hakika hana budi kuabudiwa milele duniani kote. Baada ya kusema hayo nianze kwa kusema...

READ MORE

Ugomvi wa Aboud Jumbe na Nyerere ulivyotetemesha nchi-13

Tunaendelea kuchambua mgogoro wa Mwalimu Julius Nyerere na Rais wa Pili wa Zanzibar, Aboud Jumbe: Uteuzi wa mtu atakayemridhi Mwalimu...

READ MORE

CUF, CCM kaeni tena na tena

DAR ES  SALAAM. Siku mbili baada ya Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Maalim Seif Sharif...

READ MORE

Rais Magufuli kaanza fresh, tukimuangusha itaniuma sana!

Rais Dk. John Pombe Magufuli. MWEZI mmoja unakatika sasa tangu Dk. John Pombe Magufuli aapishwe na kuanza kazi yake ya...

READ MORE

CUF yakanusha kurudia Uchaguzi wa Zanzibar

KWA VYOMBO VYA HABARI Tumepokea taarifa kwamba Balozi Seif Ali Iddi amehojiwa na Idhaa ya Kiswahili ya Radio France International...

READ MORE

Ugomvi wa Aboud Jumbe na Nyerere ulivyotetemesha nchi-5

Na Elvan Stambuli Kama nilivyosema wiki iliyopita, hatua ya kwanza iliyoanza kutikisa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ilikuwa ni pale...

READ MORE

Majaliwa Kassim; Je, VX lako lina mafuta ya kutosha?

Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa. Na Brighton Masalu Awali ya yote, niwapongeze wabunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa...

READ MORE

Magufuli kaanika; kero nyingi hazikufanyiwa kazi

MUNGU ni mwema sana na anastahili kuabudiwa milele. Baada ya kusema hayo nianze kwa kuandika kuwa kutokana na hotuba ya...

READ MORE

Mke: Mtikila alikabwa koo hadi kufa

ELVAN STAMBULI NA MAKONGORO OGING Dar es Salaam Asimulia mazito tena, apeleka waraka kwa rais Magufuli Georgia Mtikila: “Nguo zake...

READ MORE

Rais Magufuli amuapisha Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, Mh. Majaliwa Kassim Majaliwa.  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe...

READ MORE

Maswali 8 kuuawa Mwenyekiti wa Chadema Geita

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chadema Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo enzi za uhai wake. Dola isiache raia wauawe kirahisi katika mazingira...

READ MORE

Nikiiangalia Zanzibar; bado Watanzania tupo majaribuni

HAKIKA Mungu ni mwema na anastahili kuhimidiwa milele. Nasema hivyo kutokana na hali ya usalama na amani ambayo ipo nchini...

READ MORE

Ugomvi wa Aboud Jumbe na Nyerere ulivyotetemesha nchi-4

Tunaendelea na uchambuzi wa kuhusu ugomvi wa Aboud Jumbe na Mwalimu Julius Nyerere kuhusu Muungano, endelea: Makatibu wakuu wa Serikali...

READ MORE

Hili la mawaziri, miluzi isimpoteze Rais Magufuli!

RAIS John Pombe Magufuli anatarajiwa kutangaza Baraza lake la Mawaziri muda wowote kuanzia wiki ijayo, atakapokuwa ameshamtangaza Waziri Mkuu, kisha...

READ MORE

Samuel Sitta Umejibu Swali Langu!

Na Brighton Masalu KITENDO cha aliyekuwa Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta kutangaza nia ya kuwania tena kiti cha uspika katika...

READ MORE

Tumuombee Magufuli; anakabili mgogoro uliodumu miaka 50 Zanzibar

TUMSHUKURU Mungu kwa kuwa tumempata rais mchapa kazi, Dk. John Pombe Joseph Magufuli aliyeapishwa Alhamisi iliyopita jijini Dar es Salaam....

READ MORE

Ugomvi wa Aboud Jumbe na Nyerere ulivyotetemesha nchi-3

Tunaendelea kuchambua ugomvi wa Nyerere na Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar, Alhaji Aboud Jumbe: Baadaye Aboud Jumbe Mwinyi...

READ MORE

Tanzania ya Magufuli iwe Tanzania ya Watanzania

Rais Dk.John Magufuli akisalimia wagonjwa Hospitali ya muhimbili jana. MAGEUZI ya kuondoa mfumo wa kinyonyaji ni vita ambayo mtu mmoja...

READ MORE