×

Hamisa Mobeto Awashangaza Wengi, Apongeza Mapenzi ya Kajala na Harmonize

Mrembo na mfanyabiashara maarufu nchini, Hamisa Mobeto, ameibua hisia za wengi mitandaoni baada ya kuonyesha kuvutiwa na kuunga mkono mahusiano...

READ MORE

Serikali Yatoa Bilioni 200 Kuwezesha Vijana na Wanawake Kiuchumi

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amemkabidhi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Mhe. Joel Nanauka, hundi...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Feb 6, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Serikali Yapongeza Kituo cha Kairuki Green IVF Kwa Mtambo Mpya wa Kusaidia Upandikizaji Mimba

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Afya, Dk Seif Shekalaghe, amezindua mtambo mpya wa kisasa wa teknolojia ya Laser ambao utasaidia...

READ MORE

”Tuone Utu, Tukimung’unya Maneno CCM Itaondoka” – Nape – Video

Mbunge wa Mtama kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye, amechangia mjadala katika Bunge la Kumi na Tatu, Mkutano wa...

READ MORE

Taska Mbogo Aibua Hoja Nzito za Kilimo na Utalii Bungeni – Video

Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Katavi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Taska Restituta Mbogo, amechangia mjadala katika Bunge la...

READ MORE

Mtoto Darasa la 4 Afariki kwa Kuzama Mtoni Iringa – Video

Hali ya huzuni na simanzi imetanda miongoni mwa wakazi wa Mtaa wa Kitwiru, Manispaa ya Iringa, kufuatia kifo cha mtoto...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Atoa Maelekezo kwa Waziri Mkuu kufanya Utafiti Wilaya ya Chemba

  Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dodoma, Makamu wa Rais...

READ MORE

Wanawake 3 Waliokutwa na Bangi Wahukumiwa Miaka 30 Jela – Video

Mahakama ya Wilaya ya Magu mkoani Mwanza, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Mhe. Kimaro, imewahukumu kifungo cha miaka 30 jela...

READ MORE

Prof. Shemdoe na Balozi wa Norway Wakutana na Kujadili namna ya Kukabiliana na Mabadiliko ya Tabianchi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amekutana...

READ MORE

Mzee Tifutifu Anayedai Kuwatupia Majini Simba Afunguka – Video

Mzee Athuman Mshomari almaarufu Mzee Tifutifu, ambaye anadai kuwa ni mganga wa kienyeji, amedai kuwa yeye ndiye chanzo cha matokeo...

READ MORE

Harmonize Athibitisha Penzi Zito kwa Kajala, Asema ‘Huyu Ndiye Maisha Yangu’

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva na CEO wa Konde Music Worldwide, Harmonize, ameibua hisia na gumzo kubwa mitandaoni baada...

READ MORE

Kwa Taarifa Zaidi Ingia Meridianbet Sport Portal

Meridianbet Sportal Portal?, hili ni jukwaa ambalo Meridianbet hulitumia kwaajili ya kuwahabarisha, kuwaburudisha wapenzi wa michezo na Kasino kutoka sehemu...

READ MORE

Pata Mkopo wa Haraka na Riba Nafuu Kupitia Wezesha Mzawa Microfinance

Katika maisha ya kila siku, mahitaji ya kifedha yanaweza kujitokeza ghafla ada za shule, matibabu, biashara au dharura nyingine. Watu...

READ MORE

Zaidi ya Mchezo, Meridianbet Missions Ni Mfumo wa Mafanikio

Ndani ya soko linalokua kwa kasi mtandaoni, Meridianbet inaendelea kujitofautisha kwa kuleta mifumo inayomweka mtumiaji katikati ya uzoefu. Kupitia Meridianbet...

READ MORE

Fahamu Nguvu ya USS Abraham Lincoln, Ngome ya Kijeshi ya Marekani Baharini – Video

USS Abraham Lincoln (CVN-72) ni meli kubwa ya kivita ya Marekani aina ya aircraft carrier (meli ya kubeba ndege za...

READ MORE

Fursa Kubwa kwa Watanzania: Nafasi 1,150 za Udereva Qatar Zinatangazwa

Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, kwa kushirikiana na Almah Travel and Tours Company Limited, imetangaza fursa...

READ MORE

China Yapiga Marufuku Hidden Door Handles kwenye Magari

China imetangaza rasmi kuzuia matumizi ya milango ya gari yenye hifadhi iliyojificha (hidden door handles), hatua inayoweza kuathiri mtindo wa...

READ MORE

Washington Yatuma Dola Milioni 500 Kusaidia Huduma za Umma Venezuela

Marekani sasa imekamilisha marejesho ya dola milioni 500 zilizotokana na mauzo ya mafuta ya Venezuela, kama sehemu ya makubaliano mapya...

READ MORE

Prof. Shemdoe Akutana na Mkurugenzi wa Azania Kujadili Maeneo ya Ushirikiano

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amekutana...

READ MORE