×

Mechi za Kufuatilia Wikiendi Hii Historia na Ushindani Mkali!

Je unajua kuwa ukiwa na Meridianbet kwenye simu yako ni rahisi sana kutengeneza pesa?. Mechi kibao zipo kuhakikisha huondoki patupu...

READ MORE

AFCON 2025 Morocco: CAF Yatangaza Mamilioni kwa Bingwa na Washindi Wengine

Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) limetangaza rasmi muundo wa zawadi za fedha kwa ajili ya Michuano ya Kombe la...

READ MORE

Benki  Ya Stanbic Yatajwa  Kuwa Benki Bora Tanzania  Kwa  Mwaka 2025

Mkuu wa Idara ya Masoko wa Benki ya Stanbic Tanzania, Neemarose Singo, mara baada ya kupokea tuzo ya Benki Bora...

READ MORE

Magori Afunguka: Simba Haijayumba Kama Inavyosemwa, Kelele Zinakuzwa – Video

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Klabu ya Simba SC, Crescentius Magori, amevunja ukimya na kueleza sababu zilizochangia kuyumba kwa...

READ MORE

Meridian Panda Deluxe Kukukutanisha na Ushindi Mkubwa

Meridianbet wanafungua ukurasa mpya wa burudani kwa kuileta Meridian Panda Deluxe, sloti inayochanganya utulivu, burudani na msisimko wa ushindi. Ndani...

READ MORE

Wiz Khalifa Ahukumiwa Kwenda Jela Miezi 9 kwa Kuvuta Bangi Jukwaani

Staa mkubwa wa muziki wa Hip Hop nchini Marekani, Wiz Khalifa amehukumiwa na Mahakama ya Romania kifungo cha miezi tisa...

READ MORE

Naibu Waziri aipongeza CBE kwa Kutoa Machapisho148

NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Patrobas Katambi, ameipongeza menejimenti ya Chuo cha Elimu ya Biashara CBE kwa uongozi mzuri...

READ MORE

Simba Yamteua Steve Barker Kuwa Kocha Mkuu Mpya

Klabu ya Simba SC imethibitisha rasmi kumteua Steve Barker kuwa kocha mkuu mpya wa kikosi hicho, akichukua nafasi ya Meneja...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Akagua Miradi ya Kimkakati ya Bandari na Barabara Lindi

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba Desemba 19, 2025 amewasili kwenye uwanja wa ndege wa Mtwara akiwa njiani kuelekea mkoani Lindi...

READ MORE

Ujumbe wa Papa Leo XIV Siku ya Amani Duniani 2026, Kuhusu Vita, Silaha na Amani ya Kweli

Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Leo, amesisitiza kuwa amani si ndoto wala kauli ya kiimani pekee, bali ni haki...

READ MORE

Vigogo wa Ulaya na Saudia Kupambana Leo, Al Hilal, Dortmund, Inter na Wengine Uwanjani

Je unajua kuwa Wikendi ya ushindi mnono na Meridianbet imefika siku ya leo ambapo kwa dau lako dogo tuuh unaweza...

READ MORE

Marioo Aachia OLUWA: Wimbo wa Shukrani na Imani Uliogusa Mioyo ya Wengi – Video

Msanii maarufu wa Bongo Flava, Marioo, amerejea tena kwenye ramani ya muziki kwa kuachia wimbo wake mpya “OLUWA”, kazi inayobeba...

READ MORE

Zelensky Awataka Washirika wa Ulaya Kuonyesha Urusi Vita Vyake Hakuna Manufaa

Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, amewataka washirika wa Ulaya kuionyesha Urusi kuwa vita inavyoendesha dhidi ya Kyiv havina maana wala...

READ MORE

Kila Mzunguko Kupewa Thamani Kubwa Na Slotopia Ndani ya Meridianbet

Kwa wapenzi wote wa michezo ya kasino mtandaoni hii ni kwa ajili yenu, Meridianbet wanazidi kuwapendelea na sasa wamekuja na...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Disemba 19, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

MNUAT Yatangaza Ajira Mpya 54, Mwisho wa Maombi Disemba 21, 2025

Chuo Kikuu cha Mwalimu Nyerere cha Kilimo na Teknolojia (MNUAT) kimetangaza jumla ya nafasi 54 za ajira kwa Watanzania wenye...

READ MORE

Kapinga Azihimiza Kampuni Kuhuisha Taarifa Kwa Msajili Wa Kampuni

Mheshimiwa Judith Kapinga, Waziri wa Viwanda na Biashara amezihimiza  kampuni zinazofanya biashara nchini kuendelea kuhuisha taarifa zao kwa Msajili wa...

READ MORE

Msanii Christian Bella Apewa Uraia wa Tanzania

Staa wa kitambo wa muziki wa dansi au rhumba Bongo, Christian Bella hatimaye amepewa uraia wa Tanzania baada ya kuishi...

READ MORE

Shilole Arudisha Huduma ya Shishifood Dar, Awasamehe Waliochoma Mgahawa Wake – Video

Baada ya kutangaza kurejesha huduma ya Shishifood kwa njia ya delivery ndani ya mkoa wa Dar es Salaam, Mwanamuziki na...

READ MORE

Waziri Mkuu Akagua Athari Kwenye Majengo Ya Mamlaka Ya Mji Mdogo Kyela

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Desemba 18, 2025 amekagua majengo ya Mamlaka ya Mji mdogo wa Kyela ambayo yaliathiriwa...

READ MORE