×

NMB Yadhamini Mashindano ya Kitaifa ya sayansi, Teknolojia na Ubunifu

BENKI ya NMB imekabidhi kitita cha shilingi milioni 15 kwa ajili ya udhamini ya Mashindano ya Kitaifa ya Sayansi,Teknolojia na...

READ MORE

Diva Amchimba Zari, Apewa za Chembe Mtandaoni

WABONGO wenyewe wanasema wagombanao ndiyo wapatanao! Hicho ndicho kinachojiri kwa sasa kufuatia mtangazaji maarufu Bongo, Loveness Malinzi ‘Diva’ kukesha akimsifia...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Zoezi La Kuagwa Kwa Teddy Mapunda (Picha +Video)

RAIS Samia Suluhu Hassan, leo Mei 09 ameshiriki katika ibada kuuaga mwili wa aliyekuwa mmiliki wa kampuni ya uratibu na...

READ MORE

Breaking: Simba Watoa Tamko Kuhusu Mechi Yao

TAARIFA rasmi ya Klabu ya Simba baada ya kuahirishwa kwa mchezo wa Ligi Kuu dhidi ya Yanga SC uliopangwa kufanyika...

READ MORE

Canelo Alverz Amkalisha Saunders

NGUMI kali ya kati kwenda juu (Uper Cut) ya Saul ‘Canelo’ Alvarez ilitosha kumchakaza Billy Joe Saunders  akishindwa kuinuka kutoka...

READ MORE

Maua Sama: Wasanii Msitufokee!

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Maua Sama amewataka wasanii wenzake waache mikwara kwenye kazi.   Akizungumza na MIKITO NUSUNUSU,...

READ MORE

Rais Salva Kiir Avunja Bunge

RAIS wa Sudan Kusini Salva Kiir amelivunja bunge, hatua inayotoa njia ya uteuzi wa wabunge kutoka pande kinzani katika nchi...

READ MORE

Waziri Ummy Atangaza Nafasi za Kazi Ualimu na Sekta ya Afya

WAZIRI wa nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Ummy Mwalimu, leo Mei 09, 2021...

READ MORE

Mkurugenzi Mbozi akana kutishiswa kuuawa

    NA MWANDISHI WETU Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mbozi mkoani Songwe, Hanji Godigodi amekanusha madai ya kutishiwa kuuawa na...

READ MORE

Nafasi za kaza 6 RTI International, Administrative Assistants

Administrative Assistant    6 Posts RTI International is the prime implementor of the USAID Jifunze Uelewe activity focused on sustainably...

READ MORE

Rais Samia Amkabidhi Nyumba Rais Mstaafu Kikwete

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Mei 9, 2021 amemkabidhi mfano wa funguo ya...

READ MORE

Picha; Dimpoz Afika Macca Kufanya Ibada Takatifu ya Umrah

MBONGO Fleva mwenye uwezo wa juu, Omari Nyembo a.k.a Ommy Dimpoz leo Mei 9, 2021 kupitia ukurasa wake wa Instagram...

READ MORE

Mashabiki Waongea kwa Uchungu Baada ya Mechi Kuahirishwa-Video

BAADA ya mechi ya watani wa jadi kati ya Simba na Yanga, ambayo ilipangwa kuchezwa jana Mei 8, kuahirishwa  baada...

READ MORE

TFF Yaomba Radhi Mechi Ya Yanga na Simba Kuarishwa

Shirikisho la Soka Tanzania, (TFF) leo Mei 9, 2021 limetoa taarifa kuhusu mchezo wa jana Mei 8, Simba v Yanga,...

READ MORE

Watu 30 Wafariki Kwenye Mlipuko wa Bomu

ZAIDI ya watu 30 wameuwawa na wengine kadhaa kujeruhiwa katika mlipuko wa bomu uliotokea nje ya shule ya wasichana katika...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Mei 9, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Mei 9, 2021. Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Vodacom Yazindua Tovuti ya E-Fahamu Kwa Lengo La Kukuza Elimu Nchini

  KAMPUNI ya Vodacom Tanzania imezindua Tovuti ya E-Fahamu, ambayo ina lengo la kuwasaidia watoto na walimu kupata vitabu vya...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra na Jarida la Hot Pot kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra na Jarida la Hot Pot kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania...

READ MORE

Mage: Wananiita Maiti Inayotembea

SIKU zote kuna usemi usemao; ‘kabla hujafa hujaumbika!’ Ndivyo ilivyo kwa Mage Masalu (32), mkazi wa Magu jijini Mwanza.  ...

READ MORE

Kumekucha.. Zari Aipasua Familia Ya Mondi

UNAIKUMBUKA ile vita ya Team Zari na Team Wema? Timu hizi zilikuwa zikiwapigania mastaa hao; kila moja ilimuona mtu wake...

READ MORE