×

Soma Magazeti ya Tanzania Leo Februari 2, 2021

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Februari 2, 2021. Usipitwe na Matukio, Install...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra na Uwazi kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la spotixtra  na Gazeti la Uwazi kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania kwa...

READ MORE

Rayvanny Ft Nasty C – Bebe (Official Audio)

 Rayvanny Ft Nasty C – Bebe (

READ MORE

Sudan Kusini Yarudisha Nyuma Majira ya Muda Wake

  NCHI ya Sudan Kusini imerudisha nyuma muda wake kwa saa moja nyuma. Waziri wa Ajira, Bi. Mary Hillary Wani...

READ MORE

Ahukumiwa Kutokunywa Pombe kwa Miezi 12

  Mahakama Kuu Kanda ya Kigoma, imemuachia huru Boniphace Kachila, mkazi wa Kijiji cha Kiyungwe, Kasulu mkoani humo kwa sharti...

READ MORE

Yemen: Jeshi Latangaza Kumuua Kamanda wa Houthis

Jeshi la Yemen limetangaza kumuua kamanda mmoja wa Houthis pamoja na watu wengine kadhaa wanaohusika na vikosi hivyo vya kijeshi...

READ MORE

Treni ya Mwendokasi Dar – Moro Kuanza Mwaka Huuu

  UJENZI wa Reli ya Kisasa ya Umeme (SGR) kipande cha kutoka Dar es Salaam hadi Morogoro, kinatarajiwa kukamilika na...

READ MORE

Azam FC Kuvaana na TP Mazembe Kesho

  KLABU ya Azam FC inayonolewa na Kocha Mkuu, George Lwandamina kesho itakuwa na kazi ya kusaka ushindi kwenye mchezo...

READ MORE

Prof. Lipumba: JPM Tuachie Katiba Mpya – Video

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba, amemweleza Rais John Magufuli kuwa vipo viporo vyote alivyoahidi mwaka 2015...

READ MORE

Gwajima Afungukia Kupokea Kinga ya Corona, Ataja Dawa Zilizothibitishwa – Video

WIZARA ya Afya nchini imesema kufuatia kuwepo taarifa za mlipuko wa pili wa corona katika nchi jirani, imekuwa ikipokea maswali...

READ MORE

Q Chief Achafukwa, Amporomoshea Matusi Diamond

MSANII nguli wa muziki wa kizazi kipya, Abubakar Katwila, maarufu kama Q Chief, ameamua kuvunja ukimya na kuulaumu uongozi wa...

READ MORE

Bobi Wine Aanza Mchakato Kupinga Matokeo

CHAMA cha NUP kimesema maandalizi yote muhimu yamefanyika na leo wanatarajia kuwasilisha ombi la kupinga matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika...

READ MORE

JPM Ampandisha Cheo Jaji Aliyeandika Hukumu Kiswahili – Video

RAIS  John Magufuli amepandisha cheo Jaji wa Mahakama Kuu Kanda ya Musoma, Zephrine Galeba, aliyeandika hukumu kwa lugha ya Kiswahili...

READ MORE

Majaliwa Aipa CEOrt Mbinu Kuvuna Watendaji Wakuu Wazawa

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Jukwaa la Taasisi ya Wakurugenzi na wamiliki wa makampuni binafsi nchini (CEOrt)...

READ MORE

Binti Akiri Kudanganya Kubakwa, Mtuhumiwa Afungwa Jela Miaka 60

BINTI Maria Sanga (20), mkazi wa kijiji cha Kilingi Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, ameamua kuiangukia Serikali kutengua hukumu kwa...

READ MORE

Bonge la Ngoma: Scopion Kings X Tresor (Official Video – Funu)

MASTAA wa kundi la muziki la Scopion Kings,  DJ Maphorisa na Kabza De Small kwa kushirikiana na mkali wa Afro...

READ MORE

Zuchu: Sijasababisha Sukari Ipande Bei

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva Zuchu amesema kuwa hakutegemea mapokezi aliyoyapata kutoka kwa Watanzanai kwani lengo lake lilikuwa labda...

READ MORE

Nafasi za Masomo, The Amazon College DSM

THE AMAZON COLLEGE inawaalika vijana wote waliomaliza kidato cha nne (IV) kujiunga na kozi Fupi za COMPUTER APPLICATION Katika kipindi...

READ MORE

T.I Ajibu Tuhuma za Kudhalilisha Wanawake Kingono

MWANAMUZIKI Mmarekani T.I. (jina lake halisi ni Clifford Joseph Harris Jr) na mkewe wamevunja ukimya, wameibuka na kukanusha tuhuma za...

READ MORE

Liundi: Mama Alitunywesha Sumu, Wadogo Zangu Wakafariki

Mtangazaji nguli nchini, Taji Liundi, amefunguka kuhusu maisha yake binafsi na mchango wake katika tasnia ya muziki. Taji aka Master...

READ MORE