×

Senzo Amkaribisha Kocha Mpya Yanga -Video

MSHAURI  wa uongozi wa Klabu ya Yanga, Senzo Mazingiza, leo Oktoba 16, 2020, amemkaribisha klabuni hapo kocha mpya, Cedric Kaze,...

READ MORE

Exclusive: Mtoto wa Dudubaya Aomba Msaada “Hatujui Baba Alipo”

  DAR: Baada ya kusambaa kwa taarifa ya kupotelea kusikojulikana kwa takriban miezi miwili kwa msanii wa Bongo Fleva, Godfrey...

READ MORE

Prince Dube Ataja Kinachomtesa VPL

STRAIKA wa Azam FC, Prince Dube amefunguka kuwa hafurahii timu yake inapocheza kwenye baadhi ya viwanja vya mikoani kutokana na...

READ MORE

Liverpool Wataisimamisha Everton Merseyside Derby?

LIGI kuu ya soka nchini England inarejea tena wikiendi hii baada ya mapumnziko mafupi kupisha mechi mbalimbali za kimataifa, na...

READ MORE

Dkt. Kairuki Awapa Somo la Uzazi, Ujauzito na Ugumba Wamama wa Goba

DAKTARI Bingwa wa Kinamama, Wajawazito na Bingwa wa tatizo la Ugumba, Clementina Kairuki ambaye ni Mkurugenzi wa Hospitali ya Kairuki...

READ MORE

Shilole: Nina Ujauzito

USIKU wa jana katika hafla ya mama-kijacho, Aunty Ezekiel, muigizaji wa filamu na mjasirimali Shilole amefunguka kuwa na yeye ni...

READ MORE

Vijana Wawili wa Miaka 14 Mbaroni kwa Ubakaji

POLISI mkoani Shinyanga inawashikilia vijana wawili, Boazi Shija (14)na Jakaya John (14), kwa tuhuma za kumbaka mtoto mwenye miaka sita...

READ MORE

Usajili Kili Marathon 2021 Wafunguliwa Rasmi

Waandaaji wa mbio maarufu ndani na nje ya nchi Kilimanjaro Premium Lager Marthon wametangaza kuanza kwa usajili wa mbio hizo...

READ MORE

Mama Mzazi wa Waziri Dotto Biteko, Bi. Elizabeth Biteko Afariki Dunia

Mama mzazi wa Waziri wa Madini na mgombea wa nafasi ya ubunge katika jimbo la Bukombe Dotto Biteko, Bi. Elizabeth...

READ MORE

Kanye, Malone Wang’ara Tuzo za Billboard

MSANII Post Malone na rapa  wa  miondoko ya Hip Hop kutoka Marekani aliyegeukia muziki wa Injili, Kanye West, wamen’gara kwenye...

READ MORE

David Silinde Azidi Kuiteka Tunduma

Mgombea Ubunge kwa tiketi ya CCM Jimbo la Tunduma lililopo Mkoani Songwe, aDavid Silinde amezidi kuchanja mbuga katika kampeni zake...

READ MORE

Kocha Mpya Yanga Cedric Kaze Apewa Miaka Miwili

UONGOZI  wa klabu ya Young SC leo Oktoba 16, 2020 umemtambulisha rasmi kocha mpya wa timu hiyo, Mrundi, Cedric Kaze...

READ MORE

Dayna, Patoranking Kuna Jambo Lao La Kibabe

MWANADADA mwenye kipaji kikubwa kunako gemu ya Bongo Fleva hapa nchini, Dayna Nyange amefunguka kuwa yuko kwenye maandalizi kabambe ya...

READ MORE

WCB Wakimbiza Wasanii Youtube

Takwimu zilizotolewa na matandao wa YouTube zinazohusisha channel za wanamuziki nchini Tanzania zilizotazamwa kwa wingi mwezi Septemba zimewaweka kileleni wasanii...

READ MORE

Kaze Amtaja Yondani Yanga

KOCHA mpya wa Yanga, Mrundi, Cedric Kaze amemtaja aliyekuwa beki wa Yanga, Kelvin Yondani kuwa ni mmoja kati ya wachezaji...

READ MORE

Jaqueline Mengi Aeleza Siri Ya Umiss Kupoteza Umaarufu

WAKATI mashindano ya urembo nchini yakiwa yanaendelea kupoteza mvuto aliyekuwa Miss Tanzania mwaka 2000, Jaqueline Mengi ametaja baadhi ya sababu...

READ MORE

Clatous Chama Azungumzia Pointi za Yanga

KIUNGO mchezeshaji wa Simba, Mzambia, Clatous Chama, ameweka wazi kwamba licha ya kukosa kucheza na Yanga Oktoba 18, mwaka huu...

READ MORE

Billinas: Nandy Anaanzaje Kuvua Pete Yangu!

MARA nyingi husemwa uhusiano wa kimapenzi wa mastaa ni wa tia maji tia maji huku wengi wakithibitisha kumwagana muda mfupi...

READ MORE

Mwakinyo Kuwania Mikanda Miwili Dhidi ya Muargentina

BONDIA bingwa wa mabara wa uzito wa superwelter, Hassan Mwakinyo, anatarajiwa kuutetea mkanda wake wa Chama cha WBF, Novemba 13...

READ MORE

Kigogo Burundi: Kaze, Ntibazonkiza Wataipa Ubingwa Yanga

MKUU wa Kitengo cha Habari na Mawasiliano kutoka Shirikisho la Soka la Burundi (FFB), Ramadhan Kabugi, amefunguka kuwa kitendo cha...

READ MORE