×

Producer S2Kizzy Avamiwa Studio, Apigwa

MTAYARISHAJI  wa muziki wa kizazi kipya hapa nchini Tanzania, Producer S2Kizzy, ameeleza kuwa amevamiwa studioni kwake ya ‘Pluto World’ iliyopo...

READ MORE

Hatimaye Mashabiki Uingereza Kurejea Uwanjani

HUENDA mashabiki wa soka nchini Uingereza wanaweza kurejea tena viwanjani hivi karibuni, baada ya ombi la mashabiki kupata saini nyingi...

READ MORE

Benki ya Akiba Ilivyoshiriki Tamasha La Wamama Wajasiriamali wa Goba

Benki ya Akiba Commercial jana ilishiriki kwenye tamasha la Wamama Wajasiriamali waishio Goba Jijini Dar. Katika tamasha hilo lililofanyika ukumbi...

READ MORE

Sven Ataja Sababu za Kakolanya Kukaa Benchi

KIWA Simba ipo nafasi ya pili baada ya kucheza mechi tano na kujikusanyia pointi 13 ndani ya Ligi Kuu Bara...

READ MORE

Post Malone Aibuka na Tuzo 9 za Billboard

TUZO  za Billboard mwaka 2020 zimemalizika usiku wa kuamkia leo,  ambapo Post Malone ameibuka kinara kwa kuondoka na tuzo tisa...

READ MORE

Baba Asimulia Familia Yake Ilivyoteketea kwa Moto – Video

FAMILIA  ya watu watano iliyokuwa ikiishi maeneo ya Pugu Stesheni jijini Dar es Salaam, imeteketea kwa moto usiku wa kuamkia...

READ MORE

B. Wine: Polisi Wameiba Nyaraka Uteuzi Wangu Urais

MWANASIASA na mwanamuziki wa Uganda, Robert Kyagulanyi, al maarufu Bobi Wine, ameliambia shirikala utangazajila  BBC kuwa nyaraka zinazohitajika kwa ajili...

READ MORE

TANAPA Kununua Helikopta Dhidi ya Majanga ya Moto

WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Dk. Hamis Kigwangalla, ameagiza Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), kujipanga upya kwa kuwa na...

READ MORE

Kaze Aahidi Makubwa Yanga

AKITARAJIWA kutua leo Alhamisi saa 4 usiku, kocha mkuu mpya wa Yanga, Mrundi, Cedric Kaze, amewatumia ujumbe mkubwa mashabiki wa...

READ MORE

Mechi ya Burundi Iwe Funzo la Kuwavaa Tunisia

WIKIENDI iliyopita, ulipigwa mchezo wa kimataifa wa kirafi ki kati ya Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars ambayo ilikuwa...

READ MORE

Aunt Kujifungua Akirushwa Laivu

UKISTAAJABU ya Musa, utaona ya firauni! Ndivyo unavyoweza kutafsiri maajabu anayotarajia kuyafanya Staa wa filamu Bongo, Aunt Greyson Ezekiel baada...

READ MORE

Chama Aukataa Mkataba wa Yanga

KIUNGO mchezeshaji wa Simba, Mzambia, Clatous Chama, ameibuka na kufunguka hatma yake ya kujiunga na Yanga huku akielezea mipango yake...

READ MORE

Hatimaye Ndoa Ya Lulu na Majizo Yatangazwa Kanisa

MAPAMBIO ya ndoa ya staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na mchumba’ke, Francis Siza ‘Majizo’, yameimbwa mpaka basi,...

READ MORE

Waziri Kabudi Aruhusiwa Kutoka Hospitali – Video

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi, ameruhusiwa kutoka katika Hospitali ya Rufaa Mkoa...

READ MORE

Familia Iliyopoteza Watu Watano Kwa Kuungua Na Moto Huzuni Tupu!

Baadhi ya ndugu jamaa na marafiki wamefika nyumbani kwenye familia ya watu wa tano ya , Edward Jeremiah Katema waliopoteza...

READ MORE

Maalim Seif Aitwa Mbele ya Kamati ya Maadili

TUME ya Uchaguzi Visiwani Zanzibar (ZEC) imemtaka Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad,...

READ MORE

Kocha Mpya Yanga Tayari Safarini Kutua Dar

KOCHA  Cedric Kaze anayekuja kushika mikoba ya kuifundisha Yanga SC, yupo safarini kuja nchini Tanzania kwa ajili ya kuanza rasmi...

READ MORE

Ringo: Sikuanguka Kwenye Ubunge, Mama Alinikataza!

KAMA ilivyo kwa wachekeshaji wakubwa duniani, Rowan Atkinson ‘Mr Bean’ na Charles Spencer Chaplin ‘Charlie Chaplin’ , vijana wengi Bongo...

READ MORE

Irene Uwoya: Ni Kweli Naogea Maziwa ya Ng’ombe!

IRENE Pancras Uwoya ni binti wa rubani mstaafu. Uwoya ni miongoni mwa mastaa wa Bongo Movies, wenye majina makubwa Bongo....

READ MORE

Nafasi ya Kazi LESSO Africa Company Limited – Tanzania, Sales Representatives.

Muhtasari wa Kazi KAMPUNI YA LESSO AFRIKA LIMITED ni tawi la Afrika la China Lesso Group, ambalo limejitolea kutoa bomba...

READ MORE