×

DC Mwanziva na Mashekhe Ludewa Wawafikia Kinamama Hospitalini

Mashehe wilayani Ludewa mkoani Njombe wamewaasa waumini wote wa kiislam hapa nchini kukumbuka kutoa zaka katika kipindi hiki cha ramadhani...

READ MORE

Kampuni ya Meridianbet Yazindua Duka jipya la Ubashiri Vingnguti Relini

Kampuni ya Meridianbet leo hii imefika katika eneo la Vingnguti relini na kuweza kuzindua duka jipya la ubashiri ambalo litawafanya...

READ MORE

Mbunge wa Jimbo la Nkasi Adai Kubaguliwa Jimboni Kwake – Video

Mbunge wa Jimbo la Nkasi, Aida Kenan amedai kubaguliwa kwenye utendaji wa kazi jimboni kwake ambapo wakuu wa idara na...

READ MORE

Waziri Mkuu: Serikali Imesajili Miradi Ya Uwekezaji 537

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa katika kipindi cha mwaka 2021 hadi Januari, 2023 Serikali ilisajili jumla ya miradi ya...

READ MORE

Mapato ya Simba na Yanga Jumla Tsh Milioni 410, Simba Yalamba Tsh Milioni 183

Mchezo wa Ligi Kuu ya NBC uliozikutanisha Simba na Yanga Jumapili ya April 16, 2023 umeingiza jumla ya shilingi milioni...

READ MORE

Nafasi za Kazi Kituo cha Kimataifa cha Mikutano Arusha (AICC), SECURITY OFFICER

POST SECURITY OFFICER II – 1 POST EMPLOYER Kituo cha Kimataifa cha Mikutano Arusha (AICC) APPLICATION TIMELINE: 2023-04-17 2023-04-30 JOB...

READ MORE

Baraza Kuu la Waislamu Latoa Taarifa Kuelekea Sikukuu ya Eid El-Fitri

Baraza Kuu la Waislamu wa Tanzania (BAKWATA) kupitia barua yake kwa umma linawajulisha Waislamu na wananchi wote kwa ujumla kuwa...

READ MORE

Manula, Kanoute kuikosa Wydad Casablanca Jumamosi Uwanja wa Mkapa

KUNA kila dalili za nyota wawili tegemeo wa Simba, Aishi Manula na Sadio Kanoute kuikosa mechi ya robo fainali ya...

READ MORE

Ajali yaua Mwandishi wa Habari Ipogolo Manispaa ya Iringa – Video

Mtangazaji na Mwanahabari maarufu wa Mkoa wa Morogoro, Emmanuel Victor maarufu kwa jina la Imma One amefariki dunia kwa ajali...

READ MORE

Wanajeshi 320 wa Sudan Wakimbilia Chad Wakitoroka Mapigano nchini Mwao

Takriban wanajeshi 320 wa Sudan walitoroka mapigano yanayoendelea nchini Mwao hadi nchi jirani ya Chad, waziri wa ulinzi wa Chad...

READ MORE

Submeter za Kisasa kwa Ajili ya Kudhibiti Matumizi ya Umeme kwa Njia Rahisi

✅Epuka migogoro na ugomvi unaosababishwa na namna ya kugawana au ku share umeme. ✅Submeter zetu ni suluhisho linalo aminika katika...

READ MORE

Yanga Yaenda Nigeria Kimafia Haitaki Kufanya Makosa Dhidi ya Rivers United

YANGA haitaki kufanya makosa katika mchezo wao wa ugenini dhidi ya Rivers United, hiyo ni baada ya kufanya umafia wakati...

READ MORE

Sakata La Uuzwaji Wa Tanga Cement,Wadau Watoa Maoni Yao

Kutokana na sakata la uuzwaji wa kampuni ya Tanga Cement kumekuwa na mijadala mingi juu ya uuzwaji wa asilimia 68.33...

READ MORE

Halotel Yatoa Tabasamu Kwa Yatima Kuelekea Sikukuu ya Eid El Fitr

Katika kuelekea Sikukuu za Eid ul Fitr, Kampuni ya simu za mkononi ya Halotel Tanzania imetoa msaada kwa kituo cha...

READ MORE

Kampeni Ya Vimba na Timiza Akiba Droo Ya Pili Washindi 50 Wapatikana, Wiki Ijayo Flat Sceen

Dar es Salaam, 20 Aprili 2023: Kampeni ya Vimba na Timiza Akiba inayoendeshwa na Kampuni ya simu za mkononi ya...

READ MORE

Waziri Mazrui Apongeza Jitihada Za Vodacom Kuleta Maendeleo Kwa Jamii Katika Hafla Ya Iftaar

Waziri waAfya wa Zanzibar,Mheshimiwa Nassor Mazrui ameipongeza kampuni ya teknolojia na mawasiliano ya Vodacom Tanzania PLC kwa kushirikiana na serikali...

READ MORE

Tigo Ilivyoandaa Iftar Wilayani Tunduru Kwaajili ya Wateja Wake

Samwel Chanai-Meneja Mauzo wa Tigo Mkoa wa Iringa akiteta jambo na Mwangaza Matotola-Mkuu wa kitengo cha huduma kwa wateja (Tigo)...

READ MORE

Jeshi la Polisi Arusha Latoa Mafunzo Kwa Madereva wa Magari ya Kubeba Watalii

  Jeshi la polisi mkoani Arusha leo limeungana na wadau wengine ikiwemo Chuo cha ufundi Arusha pamoja Chama cha Mawakala...

READ MORE

Waziri wa Afya Apendekeza Kubadilishwa kwa Jina la Hospitali ya Mirembe

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amependekeza kubadilishwa kwa jina la Hospitali ya Mirembe ili wananchi waweze kujitokeza kwa wingi kupata...

READ MORE