×

Rais Samia Afungua Mkutano Mkuu Wa 10 Chama Cha Taaluma Ya Menejimenti – Video

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan leo Novemba 27, 2022 amefungua Mkutano Mkuu wa Kumi...

READ MORE

Bosi Mpya Simba Kujulikana Januari 29, 2023 Waeleza Sifa Za Wagombea…

KAMATI ya Uchaguzi Mkuu wa Klabu ya Simba, umeweka wazi kwamba, Januari 29, 2023, itakuwa ni siku rasmi ya wanachama...

READ MORE

Chama, Phiri Wabebeshwa Mzigo Simba Kwenye Uwanja wa Ushirika, Moshi Leo

  KOCHA Mkuu wa Simba, Juma Mgunda, ni kama amewakabidhi viungo washambuliaji wa timu hiyo, Clatous Chama na Moses Phiri...

READ MORE

Maandamano Makubwa Yazuka China, 10 Wafa kwa moto, Wataka Rais Xi Jinping Ajiuzulu

Maandamano dhidi ya masharti Covid nchini China yanaonekana kushamiri kufuati moto ulioua watu 10 katika jengo la ghorofa huko Urumqi....

READ MORE

Argentina Yarejesha Matumaini Kombe la Dunia, Ufaransa Yatinga raundi ya pili

Timu ya taifa ya Argentina hatimaye imefanikiwa kupata ushindi muhimu iliokuwa ikiutafuta baada ya kuwafunga mahasimu wao Mexico kwa bao...

READ MORE

Dc Nyangasa: Igeni Mfano Wa Meridianbet Aongoza Zoezi La Usafi Kigamboni, Dar

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Fatma Nyangasa ametoa wito kwa makampuni mbalimbali kuiga mfano wa Kampuni ya Meridianbet Tanzania, Ameyasema...

READ MORE

Mfanyabiashara Wa Madini Amuua Kwa Risasi Mtoza Ushuru, Kisa Deni La Elfu 7 – ”Alimpiga Kifuani”-Video

 Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia EZEKIA EMMANUEL LUHWESHA (31) Mchimbaji na Mnunuzi wa Madini, Mkazi wa Matundasi...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la SpotiXtra kirahisi zaidi hapa

Pata nakala yako ya Gazeti la SpotiXtra leo Nov-27, Kwa nusu bei tu Gazeti la Spoti Xtra👉www.globalapp.co.tz AU SpotiXtra👉https://bit.ly/3O0o5UU

READ MORE

Nafasi ya Kazi United Bank of Africa (UBA), Relationship Manager Public Sector

Relationship Manager Public Sector Dar es Salaam United Bank of Africa (UBA) UBA is Africa’s best and most resilient banking...

READ MORE

SBL Yatumia Bia ya Guinness Kuhamasisha Sanaa ya Uchoraji Nchini

Novemba 26, 2022, Dar es Salaam, Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imeendelea kuhamasisha sanaa ya uchoraji kwa Watanzania kupitia...

READ MORE

Sekondari ya John The Baptist Yafanya Mahafali ya 15 ya Kidato cha Nne 2022

  SEKONDARI ya wasichana, John The Baptist iliyopo jijini Dar es Salaam, imefanya mahafali ya kumi na tano ya wanafunzi wanaomaliza...

READ MORE

BAKITA Kufanya Uhariri wa Mashairi Bure kwa Wanamuziki wa Dansi

BARAZA la Kiswahi Tanzania (BAKITA) limeamua kuongeza nguvu katika kuunganisha muziki wa dansi hapa nchini kwa kuwakaribisha wanamuziki wote kwa...

READ MORE

Pigo Kubwa Brazil: Neymar Nje Mechi Mbili, Hofu Yatanda Kambini

NEYMAR hatashiriki mechi mbili zijazo za Brazil za Kombe la Dunia baada ya kupata jeraha la mguu wa kulia, anasema...

READ MORE

Fursa kwa Vijana: Kampuni ya Inalipa Yazindua Programu ya Uza Kukuza Ujasiriamali

    Kampuni ya biashara mtandaoni ya Inalipa (https://www.inalipainc.com) leo imezindua programu mpya ya kibunifu ya uza ambayo inatazamiwa kuwa...

READ MORE

Namna Unavyoweza Kushinda Kesi za Kudhulumiwa Mashamba au Viwanja

HAKUNA jambo ambalo linachelewasha maendeleo ya watu kama migogoro ya mashamba na viwanja, mtu anaweza kununua eneo lake sehemu ili...

READ MORE

Ronaldo Azua Gumzo Kutoa Kitu Kwenye Sehemu Zake za Siri na Kula, Mechi Ikiendelea

JUZI, Alhamisi usiku timu ya taifa ya Ureno ilicheza mechi yake ya kwanza katika mashindano ya kombe la duni ya...

READ MORE

Chalobah Asaini Mkataba Mpya Kubakia Stamford Bridge Hadi 2028

NYOTA wa Klabu ya Chelsea ya nchini Uingereza Trevoh Chalobah amesaini mkataba mpya wa kuendelea kubaki Stamford Bridge hadi msimu...

READ MORE

Bodi ya Wakurugenzi Simba SC Yatangaza kamati Rasmi ya Uchaguzi

BODI ya wakurugenzi wa klabu ya Simba imefanya uteuzi wa kamati ya uchaguzi ya klabu hiyo ambayo itahusika na kuandaa...

READ MORE

Rais Samia Anawatunukia Kamisheni Maafisa Wanafunzi Muda Huu Arusha-Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan anawatunukia  Kamisheni Maafisa Wanafunzi Muda Huu Arusha 

READ MORE