×

Chelsea Kumtumia Werner Kama Chambo Kuinasa Saini ya Neymar, PSG Yataka Dau Nono

KLABU ya Chelsea ipo katika hatua nzuri ya kukamilisha dili la kuinasa saini ya Winga wa Paris Saint German Neymar...

READ MORE

China Yagundua Kifaa Maalum cha Kutambua Wanaotazama Picha za Ngono

WATAFITI nchini China wamegundua kifaa maalum ambacho kitakuwa na uwezo wa kusoma akili, mawimbi ya ubongo au mvurugo wa kimihemko...

READ MORE

Mwimbaji Ekwueme Azikwa Baada ya Miezi 2, Mumewe Asusia Mazishi

OSINACHI Nwachukwu; ni aliyekuwa mwimbaji wa nyimbo za Injili kutoka Nigeria ambaye hatimaye jana amezikwa baada ya miezi miwili tangu...

READ MORE

Rais Samia Awaasa Wanawake Kutotelekeza Watoto, Atoa Maagizo kwa RC Makalla

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hssan ametoa rai kwa kina mama kutotelekeza watoto wao licha ya...

READ MORE

Ajali ya Gari Yaua 6 Wakienda Msibani, Wanne Kati Yao ni wa Familia Moja

WATU sita wamefariki ambapo wanne kati yao ni wa familia moja, watu hao wamefariki dunia kwa ajali ya gari dogo...

READ MORE

Miss Afariki Baada ya Kufanya Upasuaji, Alikaa Koma Miezi Miwili

GLEYCY Correia ni aliyekuwa Miss Brazil mwaka 2018 ambaye amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 27 baada kufanyiwa upasuaji...

READ MORE

Mbunge Kibiti Sasa Avalia Njuga Kuing’arisha CCM Wilayani Humo

    MBUNGE wa Jimbo la Kibiti mkoani Pwani, Mh. Twaha Mpembenwe baada ya kusaidia shughuli mbalimbali za kijamii kwa...

READ MORE

Chelsea Yatangaza Kuachana na Mshauri wa Benchi la Ufundi Petr Cech

KLABU ya Chelsea kupitia tovuti yake imetangaza kuwa mshauri wa benchi la ufundi Petr Cech ataondoka klabuni hapo mnamo Juni...

READ MORE

Mwenyekiti Chama cha Ushirika Pwani (CORECU) Atangaza Neema Kwa Wakulima

    MWENYEKITI wa Chama Kikuu cha Ushirika mkoa wa Pwani kinachoshughulika na zao la ufuta na korosho (CORECU), Mussa...

READ MORE

Bungeni: Spika Tulia Kutangaza Hatma ya Kina Mdee Leo? Tazama Kinachoendelea Bungeni Muda Huu

SPIKA Tulia Kutangaza Hatma ya Kina Mdee Leo? Tazama Kinachoendelea Bungeni Muda Huu. 

READ MORE

Putin Kufanya Ziara ya Kwanza Nje ya Urusi Tangu Avamie Ukraine

RAIS wa Urusi Vladimir Putin anatarajiwa kufanya ziara yake ya kwanza nje ya Urusi tangu Taifa lake lifanye uvamizi kwa...

READ MORE

Haijawai Kutokea Yanga Yatikisa Jiji, Msafara Wao, Basi Lageuka Kivutio (Picha +Video)

HAIJAWAHI kutokea unaambiwa. Hiyo ni mara baada ya Yanga kufunga mitaa ya Jiji la Dar es Salaam na kujaa jezi...

READ MORE

Nafasi za Kazi 2 The Public Procurement Regulatory Authority, Software Programmers

POST ICT OFFICER II (SOFTWARE PROGRAMMER/WEB DEVELOPER) – 2 POST EMPLOYER The Public Procurement Regulatory Authority (PPRA) APPLICATION TIMELINE: 2022-06-23...

READ MORE

CRDB Bank Pamoja Bonanza Lilivyofana Jijini Dodoma

    DODOMA 25 Juni 2022 – Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tulia Akson ameipongeza Benki...

READ MORE

LG Smart Home Appliances Digitizing Tanzania Homes; Saves Users Time and Energy 

Top benefits of the smart home appliances include offering ease and convenience to use for TVs and refrigerators, improved performance...

READ MORE

Habari Kubwa za Magazeti ya Tanzania Leo Jumatatu, Juni 27, 2022

HAPA tumekusogezea kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Juni 27, 2022 Usipitwe na Matukio,...

READ MORE

Nunua na Soma Gazeti la Championi na Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi hapa

Jipatie nakala ya Gazeti la Championi na Gazet la Ijumaa Wikienda kirahisi zaidi popote ulipo, ndani na nje ya Tanzania...

READ MORE

Balozi Mulamula Ataka Migogoro Katika Nchi za Jumuiya ya Madola Imalizwe

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula amesema kuwa, licha ya wanachama wa Jumuiya...

READ MORE

Kombe Latua GSM, Mashabiki Hawapoi, Dar Imejaa Njano na Kijani -Video

 LEO ndio Leo, siku ambayo mashabiki, wapenzi na wanachama wa Yanga waliisubiri kwa muda mrefu, kupokea kombe lao la...

READ MORE