The House of Favourite Newspapers

Ratiba Ya Makundi CAF: Simba Yapewa Wydad, Yanga Uso Kwa Uso Na Al Ahly

0

DROO ya hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika imekamilisha ambapo vigogo 16 wa Afrika wamebaini wapinzani wao huku Simba na Yanga wakikwepana.

Simba SC imepangwa Kundi B sambamba na Wydad Casablanca ya Morocco, ASEC Mimosas ya Ivory Coast na Jwaneng Galaxy ya Botswana.

Kwa upande wake Yanga SC imepangwa Kundi D sambamba na Mabingwa watetezi Al Ahly ya Misri, CR Belouizdad inayonolewa na Kocha wa zamani wa Simba SC, Sven Vandenbroeck na Medeama ya Ghana.

KUNDI A:

• Mamelodi Sundowns 🇿🇦
• Pyramids FC 🇪🇬
• TP Mazembe 🇨🇩
• FC Nouadhibou 🇲🇷

KUNDI B:

• Wydad AC 🇲🇦
• Simba SC 🇹🇿
• ASEC Mimosas 🇨🇮
• Jwaneng Galaxy 🇧🇼

KUNDI C:

• ES Tunis 🇹🇳
• Petro Luanda 🇦🇴
• Al Hilal 🇸🇩
• Etoile Sahel 🇹🇳

KUNDI D:

• Al Ahly 🇪🇬
• CR Belouizdad 🇩🇿
• Yanga SC 🇹🇿
• Medeama 🇬🇭

Leave A Reply