BARAZA la Mitihani la Taifa (NECTA) leo limetangaza matokeo ya mtihani wa Taifa kidato cha nne uliyofanyika Novemba 2018, na kutaja shule 10 zilizofanya vizuri kwa shule zenye watahiniwa zaidi ya 40.
Katibu Mtendaji wa NECTA, Dkt. Charles Msonde amesema Shule ya St. Francis ya Mbeya imeongoza kwa ufaulu huku Shule ya Pwani mchangani ya Pemba ikiwa ya mwisho .
Comments are closed.