×

Tag: Afya ya uzazi

Mambo 5 Unayotakiwa Kujua Kuhusiana Na Hedhi

NI vema kujua haya tutakayoyaainisha hapa leo. Inakadiriwa kuwa, mwanamke hupata hedhi wastani wa mara 400 katika maisha yake.  Pia,...

READ MORE

Athari za Kunywa Pombe kwa Mjamzito … Soma Hapa

KATI ya mambo ambayo wanawake wengi hawatilii maanani sana ni unywaji wa pombe wakati wa ujauzito licha ya kushauriwa na...

READ MORE

Athari Za Mirija Ya Uzazi Kushindwa Kufanya Kazi

DK. CHALE SIMU: +255713350084 | IJUMAA | AFYA TATIZO la mirija ya uzazi kushindwa kufanya kazi huitwa Tubal Dysfunction ,...

READ MORE

Bilioni 6 Zimetengwa Kuboresha Miundombunu ya Kutolea Huduma za Afya

KATIKA mwaka ujao wa fedha 2022/23 Serikali imetenga shilingi Bilioni 6 kwa ajili ya ujenzi wa miundombinu ya kutolea huduma...

READ MORE

Watoto Waning’inizwa Juu Ya Mti Kupimwa Uzito

WANANCHI katika kijiji cha Nyagisya kata ya Kiore wilayani Tarime mkoani Mara wamelazimika watoto wao kupewa huduma ya kliniki chini...

READ MORE

Ugonjwa wa UTI kwa wajawazito -2!

MAAMBUKIZI ya njia ya mkojo (UTI) husababishwa na vimelea ambavyo kitaalamu hujulikana kama E. Coli. Vimelea hawa huishi kwenye mfumo...

READ MORE

Jinsi ya kuepuka maumivu ya tumbo la hedhi (period pains)

MAUMIVU ya tumbo la hedhi au kitaalamu dismenorrhea, ni maumivu yanayojitokeza sehemu ya chini ya tumbo au kiunoni wakati mwanamke...

READ MORE

Tatizo la mwanaume kukosa mbegu za uzazi (AZOOSPERMIA)

TATIZO la mwanaume kukosa mbegu za uzazi kitaalam huitwa ‘azoospermia’ au ‘medical condition’. Ni tatizo la kitabibu na linafanyiwa uchunguzi...

READ MORE

Ijue Saratani ya Shingo ya Kizazi na Namna ya Kujikinga

HII ni saratani inayojitokeza katika shingo ya kizazi na kusambaa ndani na nje ya kizazi. Hii ni kutokana na ukuaji...

READ MORE

Ujue ugonjwa hatari wa wanawake

UGONJWA uitwao Endometriosis ni ugonjwa hatari ambao wanawake wengi hawaujui lakini unasababishwa na tishu zinazotengeneza ukuta wa ndani wa mfuko...

READ MORE

Zijue Aina za Ugumba kwa Wanawake / Wanaume

UGUMBA ni hali inayotokea iwapo watu wawili, mwanaume na mwanamke wanakutana kimwili bila kutumia njia yoyote ile ya upangaji uzazi...

READ MORE

Njia zinazoweza kumfanya mwanamke asiyezaa azae

MIRIJA ya kupitisha mayai ya mwanamke iliyoziba inaweza kusababisha ugumba, ila bado nafasi ya kupata mimba inakuwapo endapo tu uchunguzi...

READ MORE

Tatizo la fangasi sehemu za siri kwa wanawake

K ATI ya maambukizi yanayowasumbua wanawake wengi duniani ni maambukizi ya fangasi sehemu za siri. Inakisiwa asilimia 75 ya wanawake...

READ MORE

 USIYOYAJUA KUHUSU MATATIZO KATIKA KIZAZI!

K ATIKA matoleo yaliyopita tumeona kwa undani matatizo mbalimbali ya ukeni (Vaginal Diseases) na matatizo katika mlango wa kizazi (Cervical...

READ MORE

JINSI YA KUJIKINGA NA MAUMIVU WAKATI WA HEDHI (DYSMENORRHEA)

WANAWAKE wengi wamekuwa wakisumbuliwa na tatizo la kupata maumivu wakati wa hedhi ambalo kitaalam huitwa period pains.  Period pains ni...

READ MORE

JIFUNZE JINSI YA KUPATA WATOTO MAPACHA!-2

ILIPOISHIA; NJIA KUU MBILI ZA KUPATA MAPACHA Zipo njia kuu mbili zinazokuwezesha kupata mapacha, kwanza ni jinsi ya kupata mapacha...

READ MORE

JINSI YA KUEPUKA MIMBA ZISIZOTARAJIWA-2

WIKI iliyopita nilianza kuelezea vipengele kadhaa kuhusiana na makala haya na wiki hii nitamalizia. DALILI ZA KUPEVUKA YAI NI ZIPI?...

READ MORE

JIFUNZE NJIA YA KUPATA WATOTO MAPACHA

Uzazi ni suala ambalo kila mtu aliye katika umri wa kuzaa analizungumzia. Mwanaume anaweza kuwa na tatizo la uzazi na...

READ MORE

TATIZO LA KUKOSA HEDHI WAKATI SI MJAMZITO (AMENORRHEA)

KWA kawaida, mtoto wa kike akishafikia umri wa kuvunja ungo, anaanza kuona siku zake za hedhi. Huendelea kuona siku zake...

READ MORE

FAHAMU MADHARA YA PUMU KWA WAJAWAZITO

TAFITI kadhaa zimeonesha kuwa takribani theluthi moja ya wajawazito wenye pumu hupata nafuu kipindi cha ujauzito, theluthi nyingine hupata matatizo...

READ MORE

MBINU ZA KUKABILIANA NA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME-2

WIKI iliyopita tulianza kuangalia tatizo hili la upungufu wa nguvu za kiume ambalo linatajwa kushamiri kwa wanaume wengi.    Kwa...

READ MORE

NJIA 6 KUZUIA MAUMIVU YA TUMBO KIPINDI CHA HEDHI

KAMA ilivyo kwa wanawake wengi, inapofikia wakati wa hedhi, huwa wanapatwa na maumivu makali sana ya tumbo, likiwa limezoeleka kama...

READ MORE

MBINU ZA KUKABILIANA NA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

ZAMANI matatizo ya unyumba hayakuwa hadharani, yalikuwa ni siri ya mke na mume. Matatizo ya unyumba ni mambo ya chumbani,...

READ MORE

YAJUE YANAYOSABABISHA UGUMBA KWA WANAWAKE !

MOJA ya sababu kubwa inayomfanya mwanamke kuwa mgumba ni ile ya mirija ya uzazi ya mwanamke kuvimba kwa kujaa majimaji...

READ MORE

 KAMA HUTAKI KUPATA MIMBA; FANYA HAYA

SAFU yetu wiki hii imebeba njia mbalimbali ambazo mwanamke anaweza kutumia ili asipate mimba kama hataki kuwa mjamzito.  Kutokujamiiana ndiyo...

READ MORE

KINACHOSABABISHA MWANAMKE KUTOKWA NA UCHAFU MWEUPE SEHEMU ZA SIRI

WANAWAKE inawabidi kujichunguza kila siku ya maisha yao maeneo yao ya uzazi na matiti, vile vile kuichunguza nguo ya ndani...

READ MORE

MABADILIKO NA ATHARI KWENYE MZUNGUKO WA HEDHI

TATIZO la mabadiliko yasiyo ya kawaida katika mzunguko wa hedhi huwapata wanawake wengi walio katika umri wa kuzaa na wale...

READ MORE

FAHAMU HATARI ZA KIAFYA KWA WAJAWAZITO

 UJAUZITO unachangia mabadiliko mbalimbali ya mwili tangu mwezi wa kwanza hadi mwanamke anapojifungua. Katika kipindi chote za kulea mimba, mjamzito...

READ MORE

KUWA MAKINI NA MAUMIVU YA MARA KWA MARA YA TUMBO

MAUMIVU ya mara kwa mara ya tumbo ni yale ambayo yanampata mtu kwa muda mrefu au kwa vipindi yaani yanakuja...

READ MORE

ZIJUE SIKU UNAZOWEZA KUNASA UJAUZITO!

NIMEAMUA kuandika makala haya ili kujibu maswali ya wasomaji wa safu hii ambao wanahitaji kushika mimba na wameuliza kwa mfano...

READ MORE

KUTOKWA NA MAJIMAJI, MUWASHO UKENI (VAGINAL DISCHARGE)

NI tatizo linalowapata zaidi wanawake walio katika umri wa kuzaa ingawa katika hali isiyo ya kawaida inaweza kuwatokea watoto ambao...

READ MORE

SABABU ZA WANAWAKE KUTOKWA NA UCHAFU SEHEMU ZA SIRI

KUNA tatizo linalowasumbua wanawake wengi hapa nchini na duniani kwa ujumla, hilo ni tatizo la kutokwa na uchafu unaotoa harufu...

READ MORE

UJUE UGONJWA WA U.T.I NA JINSI YA KUKABILIANA NAO !

MAAM-BUKIZI sugu ya njia ya mkojo (Chronic Urinary Tract Infections – U.T.I) ni maambukizi kwenye njia ya mkojo ambayo hayatibiki...

READ MORE

MAMBO 16 MUHIMU YAMPASAYO MJAMZITO KUYAFAHAMU

KUNA mambo muhimu 16 ambayo mama mjamzito hupaswa kuyazingatia kwa afya yake wakati wote wa ujauzito wake wa miezi tisa....

READ MORE

KUZIBA NA KUVIMBA MIRIJA YA UZAZI (HYDROSALPINX)

HDROSALPINX’ ni hali ambayo mirija ya uzazi ya mwanamke inakuwa inavimba kwa kujaa majimaji na inaziba upande wa mwishoni mwa...

READ MORE

MWANAMKE ANAVYOWEZA KUPOTEZA UWEZO WA KUSHIKA MIMBA -2

INAENDELEA toka wiki iliyopita Vyanzo vingine vya matatizo yote haya ni kuharibika kwa mimba, iwe kwa bahati mbaya au kwa...

READ MORE

JINSI MWANAMKE ANAVYOWEZA KUPOTEZA UWEZO WA KUSHIKA MIMBA

KUTOPATA ujauzito ni miongoni mwa matatizo makubwa yanayowaumiza wanawake wengi kisaikolojia. Mwanamke kutokupata mimba kunaweza kusababishwa na matatizo yake mwenyewe...

READ MORE

ZIJUE NJIA ZA UZAZI WA MPANGO WA MUDA MREFU

Kuna njia nyingi za uzazi wa mpango, hizi zifuatazo ni baadhi ya njia za uzazi wa mpango ambazo zinafaa kutumika:...

READ MORE

TATIZO LA KUKOSA HEDHI (AMENORRHEA) – 2

KARIBUNI tena katika safu yetu ya Afya. Kama mtakumbuka wiki iliyopita tulianza somo letu hili la tatizo la kukosa hedhi...

READ MORE

FAHAMU DALILI ZA HATARI KIPINDI CHA UJAUZITO

KUNA baadhi ya dalili ambazo mjamzito akiziona zinaashiria tatizo hivyo leo tutajadili kwa kifui dalili hizo tukiwa na imani kwamba...

READ MORE