The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Amani

‘PAKA MTU’ AZUA TAHARUKI

GEITA: Sintofahamu na taharuki imewakumba wakazi wa Kitongoji cha Buseresere, wilayani Chato mkoani Geita kufuatia mnyama anayetajwa kama paka mtu kuleta mauzauza; Amani limedokezwa.  Usiku wa hivi karibuni inadaiwa kuwa…

UNDANI BABU ALIYEDAIWA KUBAKA KATOTO

DAR ES SALAAM: Mkazi wa Mburahati Motomoto jijini Dar, Mohammed Hassan ‘Babu Komeni’ anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 65, anashikiliwa katika Kituo cha Polisi cha Mburahati kwa madai ya kumbaka mtoto wa kike wa miaka mitatu, Amani…

SAA TISA USIKU KITANDANI MWANGU

Hii ni kolamu ya Gazeti la Amani la Global Publishers ambalo linatoka kila Alhamisi. Lengo la kolamu huu ni kufikisha ujumbe wa kuelimisha juu ya jambo fulani kwa mwandishi kujifanya anazungumza na watu mbalimbali waliotangulia mbele za…

Wako Wapi Wenzetu?

STORI: MWANDISHI WETU | GAZETI LA AMANI | ARUSHA Mungu mkubwa! Hali za wanafunzi manusura watatu wa ajali iliyosababisha vifo vya watu 35, wakiwemo wanafunzi 32, walimu wawili na dereva mmoja, wote wa Shule ya Lucky Vincent Nursery…