Kisinda, Fiston: Tunawajua Simba, Tutawapiga
KUELEKEA mchezo wao wa Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya Simba, wachezaji wa zamani wa Yanga, Tuisila Kisinda na Fiston Abdoul Razak, wametoa mbinu jinsi ya kuwamaliza wapinzani wao hao kwa kuwa wanawajua kutokana na kuwahi…
