Bomoa Bomoa Dar, Bakhresa Apewa Siku Tano
BAADA ya wakazi wa Buguruni jijini Dar es Salaam jana kuachwa na vilio wakati Kampuni ya Rasilimali za Shirika la Reli Tanzania (RAHCO) ilipoendeleza zoezi la kubomoa nyumba zilizokuwa katika eneo la hifadhi ya reli, moja wa wamiliki…
