Staa wa Muziki Ajitoa Kuwania Tuzo
MWANAMUZIKI maarufu wa Zambia, Slapdee amejiondoa kuwania tuzo baada ya mashabiki kumkosoa kwa kufanya maonesho ya muziki kwa chama kilichokuwa madarakani. Chama hicho cha Patriotic Front kilishindwa uchaguzi na hivyo kundoka madarakani…
