Catalonia Yajitenga na Hispania
KIONGOZI wa Jimbo la Catalonia, Carles Puigdemont amesema kuwa eneo hilo lililokuwa sehemu ya nchi ya Hispania limepata haki ya kuwa huru kufuatia kura ya maoni ambayo hata hivuo imekumbwa na ghasia.
Katika matokeo ya kura ya maoni…
