Wanaonunua Chapati Zaidi ya 5 Kukamatwa
JESHI la Polisi wilayani Moroto Kaskazini mwa Uganda, wameanza kuwakamata watu wanaonunua chapati tano au zaidi kwa madai ya kwamba huenda wanawalisha wezi wa mifugo katika eneo hilo.
Akizungumza na kituo cha Radio cha…
