Serikali Yapiga Marufuku Walevi, Makahaba Kuchangia Damu
SERIKALI ya Uganda kupitia Bodi ya Kuchangia Damu (UBTS), imesema kuanzia sasa haitawaruhusu walevi, makahaba na watu wenye mpenzi zaidi ya mmoja kuchangia damu kwa hiyari.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Benki ya Damu ya…
