The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

GSM

GSM Wamzuia Saido Kuondoka Yanga

WAKATI mkataba wake ukielekea ukingoni, nyota wa Yanga, Mrundi, Saidi Ntibazonkiza ‘Saido’ amezuiwa kuondoka na mabosi wa timu hiyo na kumtaka wakae chini kujadili kuongezewa mkataba wa kuendelea kukitumikia kikosi hicho. Saido…

GSM, Manji Waongeza Mzuka Yanga

WADHAMINI wa Yanga Kampuni ya GSM rasmi imekubali kufanya kazi pamoja na aliyekuwa Mwenyekiti wa klabu hiyo, Yusuf Manji katika kuelekea msimu ujao. Hiyo ikiwa ni siku chache tangu Manji ahudhurie katika mkutano mkuu wa klabu hiyo wa…

Ajibu Awavuruga Yanga

MAPEMA tu kabla hata dirisha la usajili halijafunguliwa, tayari Kamati ya Usajili ya Yanga, inayoongozwa na kaimu wake, Eng. Hersi Said, ambaye pia ni Mkurugenzi wa Uwekezaji wa GSM, imevurugika kutokana na baaadhi ya wajumbe…

Eng. Hersi Atamba na Usajili Mpya

MJUMBE wa Kamati ya Usajili ya Yanga na Mkurugenzi Uwekezaji wa Kampuni ya GSM, Injinia Hersi Said, ametamba kuwa kwa usajili mpya na wa kisasa wanaoendelea kuufanya unampa matumaini makubwa ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara na Kombe…