Luis Miquissone Arejea Kwenye Klabu Yake Ya Zamani Ya UD Do Songo
Aliyekuwa winga wa klabu ya Simba Sc Luis Miquissone amerejea kwenye klabu yake ya zamani ya UD do Songo kwa ajili ya msimu ujao wa 2024/25.
Miquissone anarejea UD do Songo baada ya kuwa nje kwa miaka minne akiiwakilisha Simba ya…
