×

Tag: MAHAKAMANI

Kabendera Akwama Kortini, Arudishwa Rumande Siku 12 – Video

KESI ya uhujumu uchumi inayomkabili mwandishi wa habari za uchunguzi nchini Tanzania, Erick Kabendera, imeahirishwa kutokana na hakimu mkazi mwandamizi,...

READ MORE

Mahakamani Kisutu: Wakili wa Malinzi Asema ‘Nimechoka’ – Video

KESI Ya utakatishaji fedha  na kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu inayomkabili aliyekuwa rais wa shirikisho la soka nchini (TFF)...

READ MORE

Mhadhiri NIT Kortini kwa Rushwa ya Ngono kwa Mwanafunzi

MHADHIRI wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) nchini Tanzania, Samson Mahimbo,  amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini...

READ MORE

Shahidi wa Serikali Akana; “Sijui Chochote Kuhusu Kesi ya Kitilya”

KAIMU Kamishna wa Sera wa Wizara ya Fedha, Mgonya Benedict (52), amedai hajui lolote kuhusu kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili...

READ MORE

Askari, Mfanyakazi wa TRA Waliotajwa Ikulu kwa Rushwa Wafikishwa Kortini

ASKARI Polisi wawili na mfanyakazi mmoja wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), waliotajwa na mfanyabiashara Ikulu kwamba wamemdai rushwa na...

READ MORE

KILICHOTOKEA LEO KESI YA MBOWE, MATIKO – VIDEO

KESI namba 112/2018 inayowakabili baadhi ya viongozi wakuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akiwemo Mwenyekiti wao, Freeman Mbowe...

READ MORE

Mkurugenzi wa UDART Kortini Kwa KuIsababishIa Serikali Hasara ya Bilioni 2

MKURUGENZI wa UDART, Robert Kisena (46) na wenzake watatu wamesomewa mashitaka 19 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ikiwemo utakatishaji...

READ MORE

Kesi ya Zitto: Spika na CAG Wapewa Siku 14

KESI ya Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe na Spika wa Bunge Job Ndugai ya kuomba kuomba tafsiri ya Mahakama...

READ MORE

ALIYETAJWA NA JPM KUIIBIA SERIKALI SH MIL. 7 KWA DAKIKA AACHIWA

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewafutia mashtaka mfanyabiashara aliyetajwa na Rais John Magufuli akidaiwa kuiibia Serikali takribani Shilingi milioni 7...

READ MORE

JAJI AAHIRISHA KESI YA MBOWE KWA NUSU SAA – Video

  UPANDE wa Serikali umekata rufaa katika Mahakama ya Rufani kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam...

READ MORE

BREAKING: Mbowe, Matiko Kurudishwa Gerezani, CHADEMA Watoa Tamko ZITO!

KUFUATIA Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kuwafutia dhamana Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe na Mbunge wa Tarime Mjini, Esther...

READ MORE

Amber Rutty, Mpenzi Wake, Wakosa Wadhamini, Warudishwa Rumande

VIDEO vixen wa Bongo, Nascat Abubakary maarufu kwa jina la Amber Rutty na mpenzi wake, Said Bakari Mtopari,  wanaoshtakiwa kwa...

READ MORE

MBOWE AZIDIWA, AKIMBIZWA SAUZI KUTIBIWA

MWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe ni mgonjwa mahututi na leo amesafirishwa kwa dharura kwenda nchini Afrika Kusini (Sauzi) kwa ajili...

READ MORE

Rais Afungwa Jela Miaka 15

MAHAKAMA nchini Korea ya Kusini imemhukumu kifungo cha miaka 15 jela na kumwamru kulipa faini ya dola milioni 11.5 aliyekuwa...

READ MORE

YALIYOJIRI MAHAKAMANI KESI YA AVEVA NA KABURU

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imepanga kusikiliza hoja za upande wa mashtaka kuhusu ombi la kutaka kufutwa mashtaka ya kesi...

READ MORE

Breaking: Mmiliki Mabasi ya Zacharia Asomewa Mashtaka ya Kujaribu Kuua

MARA: Mfanyabiashara maarufu mjini Tarime mkoani Mara ambaye pia ni mmiliki ya mabasi ya Zakaria, Peter Zakaria amefikishwa mahamani leo...

READ MORE

MBOWE BAADA YA KUACHIWA: Nimeyaona Mengi Gerezani – Video

MAHAKAMANI KISUTU: Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na viongozi wenzake sita wa chama hicho wameachiwa kwa dhamana leo. Viongozi hao wanakabiliwa...

READ MORE

Masogange Akwepa Jela Hukumu Kesi ya Madawa, Alipa Faini – VIDEO

MSANII wa muziki nchini, Agnes Gerald ‘Masogange’ amekwepa kifungo cha miaka mitatu jela baada ya kulipa faini ya Sh. milioni...

READ MORE

Masogange Ahukumiwa Jela kwa Madawa ya Kulevya, Aachiwa – Video

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemhukumu kwenda jela miaka mitatu au kulipa faini ya Tsh. Milioni 1.5, msanii Agnes Gerald...

READ MORE

Jamhuri Yapinga Dhamana ya Mbowe, Kesi Yaanza Tena

  IKIWA ni dakika chache baada Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwapa dhamana Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake...

READ MORE

Polisi: Wema Aliniambia Anatumia Bangi Kujistarehesha Tu!

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeendelea na kesi inayomkabili muigizaji Wema Sepetu ambapo Ofisa wa Polisi WP Mary ameieleza mahakama kuwa mnamo Februari...

READ MORE

Breaking News: Tido Mhando Afikishwa Mahakamani

#BreakingNews: Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji la Tanzania (TBC), Tido Mhando, amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu,...

READ MORE

GLOBAL HABARI: Mbowe Atua Mbeya Kusikiliza Kesi ya Sugu

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Aikael Mbowe, amefika Mahakama ya Mkoa wa Mbeya kwa ajili ya...

READ MORE

Pingamizi la Sugu Lakataliwa Mahakamani, Arudishwa Rumande

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi jijini Mbeya imetupilia mbali pingamizi la upande wa utetezi la kutaka kutosikilizwa kwa ushahidi wa sauti...

READ MORE

Mbeya: Sugu Azidi Kusota Mahabusu

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mbeya imezuia dhamana ya Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’ na Katibu wa Chadema...

READ MORE

Breaking: Mbunge Sugu Anyimwa Dhamana, Apelekwa Mahabusu Gerezani

  MBUNGE wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi amepelekwa mahabusu katika Gereza la Ruanda mkoani Mbeya baada ya kukosa dhamana katika...

READ MORE

ALICHOKISEMA HAKIMU KWENYE HUKUMU YA SCORPION

Hukumu ya mwalimu wa sanaa ya kujihami ‘martial arts’  Salum Njwete maarufu kama Scorpion, ya kumjeruhi na kumtoboa macho kinyozi...

READ MORE

Aliyetajwa na JPM Kukamatwa na Mabilioni Airport, Afikishwa Mahakamani

IKIWA ni takribani siku 9 baada ya Rais Dkt. John Magufuli kubainisha kukamatwa kwa mtu aliyekuwa akiingiza nchini kiasi kikubwa...

READ MORE

Breaking News: Sadifa Aachiwa kwa Dhamana, Apewa Masharti Magumu

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Dodoma iemwachia kwa dhamana aliyekuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Sadifa Juma Khamis...

READ MORE

Wadada Wanaodaiwa Kujihusisha na Usagaji Waachiwa Kortini

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mwanza imewaachia kwa dhamana wadada wawili waliokamatwa kwa tuhuma zinazoashiria kujihusisha na vitendo vya mapenzi ya...

READ MORE

Mmiliki wa Shule Mahakamani kwa Tuhuma za Mauaji ya Mwanafunzi

MMILIKI wa Shule ya Msingi na Sekondari ya Scolastica iliyopo mji wa Himo wilayani Moshi, mkoani kilimanjaro, Edward Shayo amefikishwa...

READ MORE

Mahakama Yapokea Kielelezo cha Ukamataji Mali Nyumbani kwa Wema

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imepokea kielelezo cha hati ya ukamataji mali nyumbani kwa Wema Sepetu anayekabiliwa na kesi ya...

READ MORE

Kifo cha Kanumba, Lulu Akutwa na kesi ya Kujibu – Video

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imemkuta muigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’ ana kesi ya kujibu katika tuhuma zinazomkabili za...

READ MORE

VIGOGO CHUO CHA UHASIBU MAHAKAMANI ‘KUISABABISHIA’ HASARA SERIKALI

VIGOGO wawili wa Chuo cha Uhasibu (TIA) jijini Dar es Salaam, leo wamepandishwa kizimbani Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu...

READ MORE

Mahakama Yawaachia Vigogo wa Mradi wa Mabasi ya Mwendokasi

MAHAKAMANI ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaachia huru vigogo watatu wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), akiwemo mtendaji mkuu wa...

READ MORE

Polisi Wamaliza Upekuzi Nyumbani kwa Tundu Lissu

Jeshi la Polisi limemaliza zoezi la kufanya upekuzi katika nyumba ya Mwanasheria Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)...

READ MORE

32 Kizimbani kwa Mauaji ya Wanawake Tabora

Watu 32 wamefikishwa mahakamani kujibu shtaka  la mauaji ya wanawake watano yaliyotokea katika Kijiji cha Undomo Kata ya Uchama wilayani...

READ MORE

Mzungu ‘Mtata’ Aendelea Kusota Rumande (VIDEO)

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo Agosti 18, 2017 imemnyima dhamana raia wa Afrika Kusini ambaye ni mhandisi, Menelaos Tsampos,...

READ MORE

Mhandisi Mzungu Aliyezua Timbwili Mahakamani Akosa Dhamana (VIDEO)

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, le imemnyima dhamana raia wa Afrika Kusini ambaye ni mhandisi, Menelaos Tsampos, anayetuhumiwa kwa kosa...

READ MORE

Uamuzi Wabunge Waliofukuzwa CUF Agosti 25

MHAKAMA Kuu imeahirisha kutoa hukumu juu ya pingamizi lililowasilishwa na wabunge wanane  wa Viti Maalum wa CUF kupinga Bunge la...

READ MORE