Mlima Kenya Wawashwa Moto Na Walima Bangi
MOTO unaodaiwa kuwashwa na wakulima wanaotaka kupanda bangi unatishia maelfu ya hekari za misitu ya mianzi katika Mlima Kenya au Mount Kenya. Tayari moto huo umeharibu kilomita 80 mraba za ardhi yenye nyasi na sasa unatishia…
