The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

mwamnyeto

Mwamnyeto: Tunabeba Ubingwa ASFC

BEKI wa kati wa Yanga ambaye pia ni nahodha wa timu hiyo, Bakari Mwamnyeto, amesema safari hii wanahitaji kufika fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) na kuwa mabingwa. Yanga juzi Jumanne walifanikiwa kutinga robo…

Mwamnyeto, Job Wapo Sana Yanga

UONGOZI wa Yanga, umezima tetesi za kuondokewa na baadhi ya wachezaji wake ambao mikataba yao inatarajiwa kumalizika mwishoni mwa msimu huu kwa kusema hao wanaowahitaji wanajisumbua na badala yake mastaa hao wataendelea kukipiga…

Mwamnyeto Jembe la Kazi Yanga

LICHA ya makosa ambayo amekuwa akiyafanya ya mara kwa mara ndani ya uwanja, beki wa kati wa Yanga, Bakari Mwamnyeto, ni jembe la kazi kwa kuwa kila mechi atakayoanza amekuwa akiyeyusha dakika zote 90. Miongoni mwa makosa…

Mwamnyeto Apata Pigo Kubwa

NAHODHA msaidizi na beki wa Timu ya Yanga na Timu ya Taifa ya Tanzania, Bakari Nondo Mwamnyeto amepata pigo kubwa kwa kuondokewa na mpenzi wake pamoja na mtoto wake mapema leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam.…

Mwamnyeto Amfunika Maguire

BEKI wa kati wa Klabu ya Yanga ya Bongo amemfunika jumlajumla beki wa kati ya Klabu ya Manchester United, Harry Maguire katika kuweka lango lake salama kwenye mechi za ligi ambazo wamezicheza. Kwa Bongo, Yanga ikiwa…

Simba Yaingilia Usajili Yanga

VITA kubwa ya usajili imehamia kwa beki wa kati wa timu ya taifa, Taifa Stars na klabu ya Coastal Union, Bakari Mwamnyeto anayewaniwa vikali na klabu kongwe za Simba na Yanga katika usajili wa dirisha dogo, lakini mambo yanavyokwenda…