Queen Suzy: Eti shing’ ngapi, nani kasema tunajiuza?
Stori: Hamida Hassan
Mnenguaji wa muda mrefu wa Muziki wa Dansi nchini, Queen Suzy amewajia juu wanaume wakware wanaodhani mabinti wanaofanya kazi hiyo wanajiuza akidai kuwa, usumbufu wanaopata ni mkubwa.
Bishosti huyo alisema hayo…
