The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

nape

Nape: Tukatae Kuitwa Wanyonge

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, amewataka Watanzania kuachana na dhana ya unyonge kwani kauli ya unyonge inalemaza. Kauli hiyo ameitoa hii leo Machi 14, 2022 katika Ukumbi wa JNICC, Posta jijini…

Nape: Wizara Ipo Mikono Salama

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Nnauye amemuhakikishia aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo ambaye kwa sasa ni Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Dkt. Ashatu Kijaji kuwa amekabidhi Wizara katika mikono…

NAPE: ZITTO WAJUA NAKUHESHIMU?

KUFUATIA Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe kuweka mtandaoni matokeo ya awali ya Ubunge wa Jimbo la Buyungu, Kakonko mkoani Kigoma akisema Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeshindwa katika kata 12 kati ya 13, kada wa CCM, Nape Nnauye…

Nape: Sina Mpango wa Kuhama CCM

Mbunge wa Mtama (CCM), Nape Nnauye amesema hawezi kukihama chama hicho tawala kwa kuwa ana hisa nyingi. Nape ametoa kauli hiyo jana jioni Jumapili Julai 15, 2018 mbele ya  wananchi wa Mtama ambao jioni hiyo alijumuika nao…