The House of Favourite Newspapers
gunners X
Browsing Tag

Papy Tshishimbi

Tshishimbi Aizimia Simu Yanga SC

KIUNGO aliyesajiliwa kwa mbwembwe nyingi ndani ya kikosi cha Yanga, raia wa DR Congo, Papy Tshishimbi Kabamba, amedaiwa kuwazimia simu viongozi wa timu hiyo tangu walipompatia ruhusa ya kwenda kwao DR Congo kwenye matatizo ya kifamilia…

Ujio wa Tshishimbi Noma

KIUNGO mahiri wa Yanga, Papy Kabamba Tshishimbi leo atasimama kwenye kiungo cha juu kuhakikisha kwamba Ruvu Shooting haifurukuti kwenye mechi ya ligi kuu itakayopigwa kwenye Uwanja wa Taifa. Tshishimbi katika mazoezi ya…