The House of Social Media
gunners X
Browsing Tag

Pierre Lechantre

Simba SC: Lechantre Ondoka Zako

BAADA ya kumaliza mkataba ndani ya kikosi cha Simba, uon­gozi wa timu hiyo umeweka wazi kwamba kama kocha wao mkuu Pierre Lechantre raia wa Ufaransa, atataka kuondoka na kwenda ku­fundisha mahali pengine basi wao watamruhusu kufanya…

Mfaransa Simba Aisikitikia Yanga

BAADA ya Yanga kutoa suluhu dhidi ya Rayon Sports katika mchezo wa hatua ya makundi wa Kombe la Shirikisho Afrika, Kocha Mkuu wa Simba, Mfaransa, Pierre Lechantre, amefunguka kuwa kitendo cha Yanga kutoa sare nyumbani ni wazi bado wana…

Simba SC Watenga Mechi Tano

KWA mujibu wa benchi la ufundi la Simba, wametenga mechi 5 ambazo zimebeba pointi zitakazowapa ubingwa. Simba ya Mfaransa Pierre Lechantre kwa sasa ndiyo inaongoza katika msimamo wa Ligi Kuu Bara ikiwa na pointi 46, sawa na Yanga ambao…