MANARA Atoa CV ya Kocha Mpya SIMBA SC – VIDEO
Mabingwa wa soka Tanzania Bara Simba wamemleta Kocha Mbelgiji, Patrick Aussems kuziba nafasi iliyoachwa wazi na Mfaransa Pierre Lechantre.
Kocha Aussems aliyewahi kuzinoa timu kadhaa zikiwamo za Ligi Kuu ya Ufaransa, ES Toyes AC na Stade…
