ASHAROSE MIGIRO AULA TENA UN
MWANADIPLOMASIA ambaye pia ni Balozi wa Tanzania Nchini Uingereza, Dk Asha-Rose Migiro ameula tena katika Baraza la Umoja wa Mataifa (UN) baada ya kuteuliwa kuwa mmoja kati ya jopo la wataalam 18 watakaokuwa na kazi ya kuhakikisha…
