Polisi DSM ‘Walivyowaua’ Majambazi Sugu Ukonga! – Video
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kuwaua majambazi wawili na kukamata silaha moja aina ya Chinese Pistol ikiwa na risasi tatu na maganda manne ya risasi ya bastola hiyo.
Akizungumza na wanahabari…
