Askofu Shoo Atoa Waraka wa Corona, Amvaa Aliyewavua Barakoa
MKUU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Fredrick Shoo, ameeleza kusikitishwa na kitendo cha Meya wa Manispaa ya Moshi, Juma Raibu, kuwaamuru wananchi waliokuwa katika kikao cha Baraza la Madiwani kuvua barakoa.…
