×

Bet Boost ya Meridianbet: Njia Mpya ya Kuongeza Ushindi Wako

Meridianbet, jina linalotamba katika ulimwengu wa kubashiri, linawapa wateja wake fursa ya kipekee ya kuongeza furaha na faida zao kupitia...

READ MORE

Rio Ferdinand Apongeza Viwango vya Kimataifa vya Uwanja wa Arusha

  Nyota wa zamani wa mpira wa miguu wa timu ya Taifa ya Uingereza na Klabu ya Manchester United Rio...

READ MORE

Mafwele Azuiwa Kuingia Marekani kwa Tuhuma za Ukiukwaji wa Haki za Binadamu – Video

Serikali ya Marekani kupitia Ubalozi wake nchini Tanzania, leo Mei 22, 2026 imetangaza kumuwekea vikwazo Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Tanzania...

READ MORE

Mastaa Wampongeza Jackie Cliff Baada ya Kushare Picha za Ujauzito

Jackline Patrick maarufu kama Jack Patrick au Jackie Cliff (@mscliff_) ameendelea kuteka mijadala kwenye mitandao ya kijamii baada ya kushiriki...

READ MORE

Tumaini Jipya kwa Watoto UMRA Baada ya Msaada wa Meridianbet

Kampuni ya Meridianbet imeendelea kuwa mfano wa kampuni zinazojali jamii baada ya kutoa msaada wa vyakula kwa watoto wa kituo...

READ MORE

Madonna Azua Gumzo Akiwa Na Mwonekano Wa Kipekee Kabla Ya Albamu Yake Mpya

Malkia wa muziki wa pop, Madonna (67), ameendelea kuwavutia mashabiki wake baada ya kuonekana akiwa na mwonekano wa kuvutia katika...

READ MORE

Marekani Yaipa Iran Onyo Kali Kuhusu Hormuz, Yakataa Kutoza Ushuru

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio amesema makubaliano ya kidiplomasia kati ya Marekani na Iran hayatakuwa na...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Mei 22, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Polisi Wafunguka Sakata la David Jumbe Uchunguzi Bado Unaendelea – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limetoa taarifa kuhusu sakata la David Joseph Mghanja maarufu Djumbe, kufuatia...

READ MORE

Rio Ferdinand Avutiwa Na Utalii Wa Serengeti, Ajionea Uhamaji Wa Nyumbu Na Simba Kwa Ukaribu

Nyota wa zamani wa Klabu ya Manchester United na timu ya Taifa ya Uingereza, Rio Ferdinand akiwa na Waziri wa...

READ MORE

Chadema Yaeleza Sakata la David Jumbe Baada ya Kupatikana Akiwa na Pingu – Video

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeeleza taarifa mpya kuhusu msaidizi wa mwenyekiti wake, Tundu Lissu, David Jumbe, kufuatia madai...

READ MORE

Nyota wa Iran Kombe la Dunia 2018 Aishia Jela Baada ya Kauli za Kisiasa Mtandaoni

Mchezaji wa zamani wa timu ya taifa ya Iran, Rashid Mazaheri, amekamatwa na kuwekwa gerezani kufuatia chapisho aliloliweka mtandaoni mapema...

READ MORE

Vita Yakumaliza Msimu Leo, Nani kuibuka Mshindi? Al Ittihad Uso kwa Uso Al Qadsiah

Al Ittihad wana pointi 54 baada ya mechi 33, wakiwa nafasi ya 5, wakishindana kwa nafasi ya kufuzu Ligi ya...

READ MORE

Ubalozi wa Tanzania Nchini Marekani Watangaza nafasi Kazi Udereva

Ubalozi wa Tanzania Marekani umetangaza nafasi mpya ya ajira kwa Dereva wa Ndani (Local Based Driver) kwa mwezi Mei 2026....

READ MORE

Waziri Mkuu Atatua Mgogoro Wa Ardhi Uliodumu Kwa Miaka 51 Wilayani Rombo

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba ametatua mgogoro wa ardhi kati ya Parokia ya Mtimhoo ya Kanisa Katoliki Jimbo la Moshi...

READ MORE

Rais wa Syria Amshukuru Trump kwa Zawadi ya Manukato ya Bei Kubwa

Rais wa Syria Ahmed Al-Sharaa amemshukuru Rais wa Marekani Donald Trump kwa kumtumia zawadi ya manukato ya bei kubwa ya...

READ MORE

Aston Villa Waichapa Freiburg Mabao 3-0 na Kutwaa Ubingwa wa Europa

Klabu ya Aston Villa imefanikiwa kutwaa ubingwa wa UEFA Europa League msimu wa 2025/26 baada ya kuibuka na ushindi wa...

READ MORE

Mchezo wa Vaso Psycho wazua hamasa mpya kwa wapenzi wa kasino mtandaoni

Kama unajua raha ya kutafuta mkwanja huku ukipata burudani ya nguvu, basi Gates of Arabia kutoka Meridianbet ndipo raha hiyo...

READ MORE

Vyakula Vya Kupunguza Maumivu Wakati wa Hedhi

KUNA baadhi ya wanawake ambao hupata maumivu tofauti wakati wa siku za hedhi kila mwezi.  Maumivu haya makali na mateso...

READ MORE

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Alivyokutana na Rio Ferdinand Dodoma

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba Mei 20, 2026 amefanya mazungumzo na Nahodha na Mchezaji wa zamani na wa Timu ya...

READ MORE