×

Mapato ya Airtel Yafikia Dola Bilioni 1.85 Katika Robo ya Kwanza ya Mwaka

Kampuni ya mawasiliano ya Airtel Africa imeanza mwaka wake mpya wa fedha wa 2026/27 kwa mafanikio makubwa, baada ya kuongeza...

READ MORE

Jinsi ya Kusikia Sauti Halisi ya Video za YouTube Badala ya Tafsiri ya AI

YouTube imeanza kutumia teknolojia ya kutafsiri sauti kwa kutumia Akili Bandia (AI Dubbing) kwenye baadhi ya video, hali inayowafanya baadhi...

READ MORE

Otamendi Atangaza Kustaafu Soka la Kimataifa Baada ya Miaka 17

Nahodha wa safu ya ulinzi ya Argentina, Nicolas Otamendi, ametangaza kustaafu kuchezea timu ya taifa, akihitimisha safari ya miaka 17...

READ MORE

Trump Ataka Saudi Arabia Kuingia Kwenye Mkataba wa Amani Kabla ya Nyuklia

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema uidhinishwaji wa mkataba unaopendekezwa wa ushirikiano wa nyuklia kwa matumizi ya kiraia kati ya...

READ MORE

Wanafunzi Shule ya Msigi Goba Matosa Wapokea Msaada wa Madawati

Wanafunzi wa Shule ya Msingi Goba Matosa iliyopo Wilaya ya Ubungo mkoani Dar es Salaam wamepokea msaada wa madawati 23...

READ MORE

Koncept AI Academy Yaendeleza Mapinduzi ya AI Afrika Kwa Kuanza Rwanda

Koncept AI Academy imepanua shughuli zake kutoka Tanzania hadi Rwanda kwa kufanikisha AI Masterclass maalum kwa viongozi wa sekta ya...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Julai 24, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa...

READ MORE

Mkuu wa Gereza Kuu Ukonga Adai hajui Kama Tundu Lissu Aliwahi Kuwa Rais wa TLS

Mkuu wa Gereza la Ukonga, ACP Andrew Shaban, amesema hafahamu kama Tundu Lissu aliwahi kuwa Rais wa Chama cha Wanasheria...

READ MORE

Video: Trump Aipa Iran Onyo Baada ya Mashambulizi ya Wahouthi Yemen

Rais wa Marekani, Donald Trump, leo Julai 23, 2026 ameonya kuwa iwapo waasi wa Houthi nchini Yemen wataendelea kufanya mashambulizi...

READ MORE

Uwoya Akanusha Kufunga Ndoa na Dogo Janja “Nina Ndoa Moja Tu”

Muigizaji wa filamu nchini, Irene Uwoya, amesema hajawahi kufunga ndoa na mwanamuziki wa Bongo Fleva, Dogo Janja, akisisitiza kuwa ndoa...

READ MORE

Wabunifu, Wasanii Wahimizwa Kushiriki Mashariki Creative Economy Expo 2026

Wabunifu, wasanii na wadau wa sekta ya ubunifu wamehimizwa kujitokeza kushiriki katika Jukwaa la Mashariki Creative Economy Expo 2026, ambalo...

READ MORE

Kocha Mpya wa Yanga, Manqoba Mngqithi Aanza Kazi

Kocha mpya wa klabu ya Young Africans (Yanga SC), Manqoba Mngqithi, leo Julai 23, 2026 ameanza rasmi majukumu yake ya...

READ MORE

Dynamo Kyiv dhidi ya PAOK FC: Mechi ya Kufuzu Europa League Kupigwa Leo

Mbali na takwimu za kawaida za mechi, kuna hadithi ya kuvutia inayozunguka mchezo wa leo kati ya Dynamo Kyiv na...

READ MORE

Meridianbet na UFC Waunganisha Nguvu Kwenye Tukio la Kihistoria Belgrade

Tarehe 1 Agosti 2026 itaingia kwenye historia ya michezo ya mapambano wakati UFC itakapofanya tukio lake la kwanza kabisa nchini...

READ MORE

Polisi Arusha Wafungua Milango Ya Ajira Kwa Vijana Wa Mazingira Magumu

Ndoto za vijana wanaoishi katika mazingira magumu mkoani Arusha zimeanza kupata mwanga baada ya Jeshi la Polisi kupitia Kikosi cha...

READ MORE

Inter Miami Yamtambulisha Casemiro, Lakini Yakumbwa na Uchunguzi

Klabu ya Inter Miami imetangaza rasmi kumsajili kiungo mkongwe wa Brazil, Casemiro, kama mchezaji huru baada ya kuondoka Manchester United...

READ MORE

Lissu Afikishwa Mahakama Kuu Kesi ya Haki ya Faragha Gerezani – Picha

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amefikishwa tena katika Mahakama Kuu, Masjala Ndogo ya Dar es...

READ MORE

Makosa 7 Yaliyosababisha Ajali ya Meli ya Costa Concordia na Vifo vya Watu 32

Ajali ya meli ya kifahari Costa Concordia iliyotokea Januari 13, 2012, na kusababisha vifo vya watu 32 imeendelea kukumbukwa kama...

READ MORE

Rais Samia Ahutubia Mkutano wa AU Kuhusu Afya Ghana – Picha

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amehutubia Mkutano Maalum wa Wakuu wa Nchi na Serikali...

READ MORE

Simba Yapata Pigo, Kiongozi Iddi Kajuna Afariki Hospitali ya Muhimbili

Klabu ya Simba SC imetangaza kwa masikitiko kifo cha Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano, Iddi Kajuna, kilichotokea usiku wa...

READ MORE