×

Atletico Madrid Yaivua Ubingwa wa UEFA Barcelona

Atletico-Madrid-v-Barcelona-7

Antoine Griezmann wa Atletico akifunga goli la kwanza

Atletico-Madrid-v-Barcelona

Mpira uliopigwa na Antoine Griezmann kwa kichwa ukiingia nyavuni.Atletico-Madrid-v-Barcelonadffff

Antoine Griezmann akishangilia gori

Atletico-Madrid-v-Barcelonamm Lionel Messi na Neymar wakiduwaa baada ya kupigwa bao.

Atletico-Madrid-v-Barcelona-2

Luis Suarez baada kukosa gori

Atletico-Madrid-v-Barcelona-5ss

Griezmann akipiga shuti.

Atletico-Madrid-v-Barcelona-9dd

Kocha Atletico Madrid, Diego Simeone akitoa mwongozo kwa wachezaji wake.Atletico-Madrid-v-Barcelona jjjjAntoine Griezmann akifunga gori la pili.

Atletico-Madrid-v-Barcelonaddd

Antoine Griezmann akishangilia gori la pili baada ya kuifunga Barcelona

Atletico-Madrid-v-Barcelonassd

Yannick Ferreira-Carrasco akichuana na Gerard Pique.

dddd

Lionel Messi akipambana na Filipe Luis kuwania mpira

ff

Neymar akiangushwa chini na mchezaji wa Atletico Madrid

Barcelonas-Argentinian-forward-Lionel-Messi-looks-dejected

Lionel-Messi- akishangaa baada ya kufungwa na Atletico Madrid.

JANA usiku hali ilikuwa ngumu kwa klabu ya soka ya Hispania, Barcelona baada ya kukubali kichapo cha bao 2-0 kutoka kwa majirani zao Atletico Madrid na kutolewa kabisa kwenye michezo ya fainali ya Kombe la UEFA.

Antoine Griezmann ndiye aliyeipa timu yake ushindi wa mabao mawili na kuiwezesha Atletico Madrid kufanikiwa kuvuka na kucheza nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa, pili timu hiyo imeivua ubingwa wa Ligi ya Mabingwa Ulaya, Barcelona.
Katika mechi ya kwanza ikiwa nyumbani, Barcelona ilishinda kwa mabao 2-1. Hivyo kwa ushindi wa jana Atletico ikiwa nyumbani, maana yake imeing’oa Barcelona kwa jumla ya mabao 3-2.

Leave a Comment