×

Dyna: Nahisi nitazeeka bila kuolewa

DaynaMwanaisha Nyange ‘Dyna’

Stori: MAYASA MARIWATA
MWANADADA anayebamba na ngoma ya Angejua, Mwanaisha Nyange ‘Dyna’ amesema muda mrefu amekuwa akisaka muoaji lakini kila anayemuamini anaenda kinyume na matarajio yake na kuhisi huenda atazeeka bila kuolewa.

Akifungukia maisha yake ya kimapenzi, Dayna alisema:
“Kama nilizaa bila ndoa ilitosha, sitaki kurudia kosa, sasa najilinda nisizae bila ndoa ndiyo ndoto yangu kubwa. Hofu yangu kubwa ni kuzeeka bila kuolewa.”

Leave a Comment