
Swali hilo litajibiwa siku ya tarehe 26 Agosti mwaka huu, katika ulingo wenye hadhi na heshima ya juu wa T-Mobile Arena-Nevada. FLOYD MAYWEATHER JR. VS CONOR MCGREGOR NANI KIJOGOO?
Kinacholipamba pambano hilo ni jinsi ambavyo waandaaji wamefanya ubunifu wa hali ya juu katika kulitangaza, Mayweather na McGregor wameonekana mara kadhaa katika maeneo tofauti wakibishana na kutaniana huku mashabiki wao wakishangilia kwa nguvu. Ni mbinu hii ndiyo inayolifanya lisubiriwe kwa hamu na mamilioni ya watu duniani kote.
The money fight!
Ndiyo jina lililopewa pambano hilo. Kama mambo hayatabadilika, Mayweather atalipwa Dola za Marekani milioni 230, McGregor yeye ataondoka na… BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI
1 Comment