Mwili wa mtoto Patrick ambaye ni mtoto wa Muna Love umezikwa leo Jumamosi, Julai 7, 2018 katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam baada ya kuagwa katika Viwanja vya Leaders.
Mwili wa mtoto Patrick ambaye ni mtoto wa Muna Love umezikwa leo Jumamosi, Julai 7, 2018 katika makaburi ya Kinondoni jijini Dar es Salaam baada ya kuagwa katika Viwanja vya Leaders.