Magufuli Azindua Karakana Kuu ya JWTZ (Picha +Video)
Global Publishers March 13, 2020 0 Comments
SHARE THIS:
Rais John Magufuli akikata utepe akiwa na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Hussein Mwinyi, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo na Balozi wa Ujerumani nchini Bi. Regine Hess na viongozi wa vyombo vya ulinzi na usalama kuashiria uzinduzi wa karakana kuu ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Lugalo jijini Dar es Salaam leo Ijumaa Machi 13, 2020.
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amri jeshi Mkuu, Dkt. John Magufuli amezindua karakana kuu ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) katika kambi ya Lugalo, Jijini Dar es Salaam leo Ijumaa, Machi 13, 2020.
…Akipongezana na Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Dkt. Hussein Mwinyi, Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Venance Mabeyo na Balozi wa Ujerumani nchini Bi. Regine Hess baada ya kuzindua karakarana hiyo.…Akiwa na Balozi Hess akikagua sehemu za ufundi wa magari.…Akiwa na Dkt. Hussein Mwinyi, Jenerali Venance Mabeyo na Balozi Hess alipotoka kukagua karakana.…Akimpongeza Balozi Hess kwa hotuba yake wakati wa sherehe ya uzinduzi.…Akiagana kwa kugonganisha miguu na Balozi Hess baada ya sherehe za uzinduzi.…Akiagana na maafisa wa JWTZ.