
Rais Magufuli leo Mei 17, 2020 ameungana na Waumini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Ushirika wa Chato Mkoani Geita kusali Ibada ya Jumapili iliyoongozwa na Mchungaji Thomas Pascal Kangeizi.





Rais Magufuli leo Mei 17, 2020 ameungana na Waumini wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Ushirika wa Chato Mkoani Geita kusali Ibada ya Jumapili iliyoongozwa na Mchungaji Thomas Pascal Kangeizi.



