×

Nchi 20 Zenye Uchumi Mkubwa Zaidi Duniani

Kwa mujibu wa Pato la Jumla la Kitaifa (GDP)

MIONGONI  mwa nchi 20 zenye uchumi mkubwa zaidi tangu mwaka 1980, nchi 17 bado zinaendelea kuwepo katika kundi hilo, hii ikimaanisha kwamba ni nchi tatu tu ambazo zimeingia katika orodha hiyo hivi sasa.

Nchi hizi ndizo ‘wachezaji’ wakuu wa masuala ya kiuchumi duniani ambapo jumla ya mapato ya kitaifa (GDP) kwa nchi 10 tu miongoni mwa hizo, yanafanyika asilimia 66 ya uchumi wote duniani, wakati nchi hizo zote 20 zinafanyika asilimia 79 ya nguvu zote za kiuchumi duniani.

Nchi 173 zilizobaki, kwa pamoja zinafanyika robo ya nguvu zote za kiuchumi duniani.

Miamba hiyo ya uchumi duniani ni ifuatayo:

1. Marekani

Jumla ya Pato la Taifa (GDP) Dola trilioni 21.44

2. China

GDP Dola trilioni 27.31 

3. Japan

GDP Dola trilioni 5.75 

4. Ujerumani

GDP: Dola trilioni 4.44

5. India

GDP Dola trilioni 10.51

6. Uingereza

GDP Dola trilioni 3.04 

7. Ufaransa

GDP Dola tr. 2.96

8. Italia

GDP tr. 2.40

9. Brazil

 GDP tr. 3.37

10. Canada

 GDP tr. 1.84

11. Russia

Russia tr. 4.21 

12. Korea Kusini

GDP tr. 2.14

13. Spain

GDP tr. 1.86

14. Australia

GDP tr. 1.32

15. Mexico

 GDP tr. 2.57 

16. Indonesia

17. Uholanzi

GDP tr. 969.23

18. Saudi Arabia

 GDP tr. 1.86

19. Uturuki

 GDP tr. 2.29

 

20. Switzerland

GDP bil. 548.48

Leave a Comment