
Robert Maboto ameibuka kidedea kwa kupata kura 140 huku Mzee Stephen Wassira akiwa nafasi ya pili kwa kura 115. Namba 3 ni Zuru Nanji mwenye kura 63
Mtoto wa Wassira amelazimika kusaini matokeo baada ya babake kuondoka eneo la mkutano kabla ya matokeo kutangazwa