Global Publishers October 29, 2020 4 views 0 Comments
SHARE THIS:
Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Arusha Mjini amemtangaza Mrisho Gambo wa CCM kuwa Mshindi wa Ubunge katika Jimbo hilo kwa kura 82,480 akifuatiwa na Godbless Lema (CHADEMA) mwenye kura 46,489.