
Rais Samia Suluhu Hassan leo Mei 25, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje ya Saudia Arabia Mwana wa Kifalme, Faisal Bin Farhan Al Saud Ikulu Jijini Dar es Salaam.





Rais Samia Suluhu Hassan leo Mei 25, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje ya Saudia Arabia Mwana wa Kifalme, Faisal Bin Farhan Al Saud Ikulu Jijini Dar es Salaam.



