



Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dk Faustine Ndugulile amejionea huduma ya elimu kwa njia ya mtandao inayotolewa kutoka katika shirika la Shule Direct inayolenga kuwajengea uwezo wananchi katika masuala mbalimbali.




Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dk Faustine Ndugulile amejionea huduma ya elimu kwa njia ya mtandao inayotolewa kutoka katika shirika la Shule Direct inayolenga kuwajengea uwezo wananchi katika masuala mbalimbali.