MBUNGE wa Buchosa, Eric Shigongo, amezungumza na watumishi wa serikali na kuonya juu ya upotevu wa mapato na kusema kua yupo tayari kukosana na yeyote ambaye ataiba mapato ya jimbo hilo.
MBUNGE wa Buchosa, Eric Shigongo, amezungumza na watumishi wa serikali na kuonya juu ya upotevu wa mapato na kusema kua yupo tayari kukosana na yeyote ambaye ataiba mapato ya jimbo hilo.