×

Usajili Wafanyika Kampeni ya Raise The Bar ya SBL

Mwakilishi wa kampuni ya Bia ya Serengeti alimwelekeza mmoja wa wateja namna ambavyo anaweza kujaza fomu kwa ajili ya kuomba kunufaika na mradi wa kunyanyua baa baada ya kuathiriwa na ugonjwa wa Corona unaojulikana kama Raise the Bar.
Hassan Matata akimwelekeza mmoja wa wafanyakazi wa MK Bar iliyopo jijini Dar es Salaam namna ya kujaza fomu ya maombi kwa ajili ya kuomba misaada mbali mbali inayotolewa na Kampuni ya SBL kupitia mpango wa kusaidia baa kunyanyuka maarufu kama Raise the Bar
Mmoja kati ya wateja waliofika katika banda lililowekwa kwa ajili ya kuwaelekeza wenye mabaa namna ya kujisajili katika mpango wa kuyasaidia mabaa kunyanyuka unaojulikana kama Raise the Bar au Tunyanyuke Pamoja akipata maelekezo kutoka kwa wawakilishi wa Kampuni ya Bia ya Serengeti

Kampuni ya Bia ya Serengeti wameendelea na kampeni yao ya kusajili Bar Mbalimbali baada ya kuathiriwa na ugonjwa wa Corona unaojulikana kama Raise the Bar.

Leave a Comment