
Bodi ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara imetoa takwimu mbalimbali za msimu wa 2020/21 uliokwisha malizika kwa Simba kutwaa ubingwa. Takwimu hizo zinaonesha Yanga imeipiku Simba kwa kuingiza mashabiki wengi na kuongoza kwenye mapato yaliyokusanywa getini.



Bodi ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara imetoa takwimu mbalimbali za msimu wa 2020/21 uliokwisha malizika kwa Simba kutwaa ubingwa. Takwimu hizo zinaonesha Yanga imeipiku Simba kwa kuingiza mashabiki wengi na kuongoza kwenye mapato yaliyokusanywa getini.

