Staa na Rais wa Lebo ya WCB, Diamond Platnumz usiku wa kuamkia leo amemtunza mapesa msanii Q Chief usiku wa Mahaba Ndi Ndi Ndi kwenye siku ya wapendanao katika ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.
Staa na Rais wa Lebo ya WCB, Diamond Platnumz usiku wa kuamkia leo amemtunza mapesa msanii Q Chief usiku wa Mahaba Ndi Ndi Ndi kwenye siku ya wapendanao katika ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.