MSANII wa kizazi kipya, Haitham Ghazal Seif @haithamkim amelazwa katika chumba cha wagonjwa mahututi (ICU) katika Hospitali ya Temeke jijini Dar es Salaam.
https://globalpublishers.co.tz/msanii-haitham-alazwa-icu-katika-hospitali-ya-temeke-aomba-msaada/