×

Shigongo Awashukuru viongozi wa dini kwa maombi ya Kimbunga Hidaya

Mbunge wa Buchosa kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo.

Mbunge wa Buchosa kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Eric Shigongo amewashukuru viongozi wote wa dini nchini, waumini na Watanzania wote kwa maombi yao ambayo yamesababisha Kimbunga Hidaya kisilete madhara makubwa nchini.

Leave a Comment